Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,959
- 29,332
Ungesoma vigezo vilivyotumika na si vigezo vya maisha yenu ya mitaani, kwa vigezo ulivyoelezea basi Tanzania tuko juu sana kuliko Marekani!Mkiwa mnasoma vitu mahali vitafakari kwa kutumia akili zenu mkigundua ni takataka msivi copy na kuvi paste sehemu nyingine. Umewahi kuishi South Africa hata wiki moja tu!?,hiyo nchi imeoza kwenye kila nyanja. Wazungu wanaoangalia future ya vizazi vyao wanahama Kila siku, kule imebakia maendeleo ya vitu na miundo mbinu basi. Uhalifu upo juu sana, elimu imeshavurugwa. Corruption serikalini ipo kiwango cha SGR, maadili hakuna kabisa. Pamoja na madhaifu ya serikali yetu lakini huwezi kusema tumezidiwa na South Africa, Burkina Faso, Lesotho, Gambia... Never. Hapo wanaotuzidi kiuhalisia ni Botswana, Ghana na Namibia basi. Wengine hakuna lolote.
Juzi spika wa bunge la Afrka Kusini alifikishwa mahakamani kw tuhuma za rushwa, hapa Tanzania asingeweza kufikishwa mahakamani hata kama angeiba, sheria inamlinda.