NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
mimi sio mtanganyika,
sikuzaliwa Tanganyika,
maana ya neno Tanganyika, siijui,
Tanganyikailitoka wapi, sijui,
ilibatizwa jina na nani, sijui?
Jamani hebu nisaidieni hapa.....ni mkoloni gani alieipa mipaka yetu jina la Tanganyika?
Na pia najua kabla hawajaja wakoloni mababu wa mababu zetu walikaa kwenye mipaka hii hii,,,hivi kuna mwenye Idea ilikuwa inaitwaje hapo awali? kabla ya kuitwa Tanganyika ......
Ila pamoja na kuitwa na mkoloni bado naweza jivunia nalo maana ni jina lenye maneno ya kiswahili "Tanga" na "Nyika" na lina tafsirika kwa lugha yangu.....
Mimi ni Mtanganyika na kama muanzisha Thread nachukia kuitwa M-bara......na ndugu zetu wa Zanzibar hawawezi kutuita Watanzania, huishia kutuita wabara kama tunavyowaita wazanzibar au wavisiwani.....