Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 746
Aliyeizika Tanganyika si CCM. Ni Nyerere na ilikuwa kabla ya CCM kuzaliwa kwa miaka mingi sana, Tanzania ilianza mwaka 64. CCM ilianza lini?
Fikiri.
unawezaje kuitenganisha CCM na Nyerere? Yeye ndio aliizika Tanganyika lakini viongozi wa CCM waliofuatia walilijengea kaburi kwa zege nzito ili hata kama ikitokea imefufuka ikose pa kutokea huko kaburini.
Lakini saa imefika ya kulivunja kaburi na kuitoa Tanganyika yetu.