Mnyonge Namba1
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 402
- 81
Nikibahatika kukutana na Mh rais wa JMT nitamtaka ajibu maswali haya bila kumung'unya maneno. UTANGULIZI: Mtoto ni zao la baba na mama.JMT ndiye mtoto mwenyewe na 26/4/2012 anafanya sherehe ya birthday kwa kufika umri wa miaka 48 ya kuzaliwa. MASWALI:- Je! Yupo wapi baba watoto(Tanganyika) ikiwa mama watoto(Zenji) yupo?.Je mzazi huyu alikufa au kafichwa tu?.Kama kafa,je aliugua nini, au uzee?. Je!Kwanini mama watoto(Zenji) hafi?.Mh rais naomba majibu. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania............ NAWASILISHA