Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Najisikia vibaya nikiona jinsi utaifa wangu ulivyomezwa na muungano....napenda kuiona tanganyika ya babu zangu..viva tanganyika fufuka uliko
 
Mbona hoja zako ni za kichochezi hivyo na umekuja leo tu JF bado una kamba mguuni?
 
jifunze historia vizuri coz tanganyika bado iko hai, na dhana ya tz bara na tz visiwani zimebuniwa tu kwa maslahi ya the so called baba wa taifa. back to the history hakuna makubaliano yoyote ya kuiondoa tanganyika. nyerere kwa sababu ambazo hakuna anayezifahamu alitoa tamko kwamba kila penye neno tanganyika katika docs za kisheria liwekwe neno tanzania. why? no body knows. sasa jee ni kweli kuwa tanganyika imekufa? hapana ni kiasi cha kureverse the action tu na tanganyika itarudi tena. tukisema nyerere alikuwa dictator mtabisha ila ndio ukweli. hakuna aliyethubutu kuhoji wala kuuliza juu ya mabadiliko hayo na mengine. Ok.kama hiyo haitoshi, wazanzibari kupiga kelele juu suala la muungano ni haki yao ya msingi. tanganyika iliondoka nchini bila ya makubaliano yoyote. kutokuhoji suala hilo kwa watanganyika kulitokana na uzembe na woga wao sasa ndo kusema kutokana na uzembe huo zanzibar nayo iondoke hivyo hivyo. hapana cha msingi ni kurudisha tanganyijka na si kuondoa zanzibar ile ile serikali ya muungano kama ambavyo imeasisiwa ifanye kazi yake. ila kwa kuwa watanganyika tumezoea jazba ndo mana wazanzibar wakijitetea tunaona kinyaa ila ukweli ni upuuzi wetu wenyewe. nitarudi :juggle:
 
jifunze historia vizuri coz tanganyika bado iko hai, na dhana ya tz bara na tz visiwani zimebuniwa tu kwa maslahi ya the so called baba wa taifa. back to the history hakuna makubaliano yoyote ya kuiondoa tanganyika. nyerere kwa sababu ambazo hakuna anayezifahamu alitoa tamko kwamba kila penye neno tanganyika katika docs za kisheria liwekwe neno tanzania. why? no body knows. sasa jee ni kweli kuwa tanganyika imekufa? hapana ni kiasi cha kureverse the action tu na tanganyika itarudi tena. tukisema nyerere alikuwa dictator mtabisha ila ndio ukweli. hakuna aliyethubutu kuhoji wala kuuliza juu ya mabadiliko hayo na mengine. Ok.kama hiyo haitoshi, wazanzibari kupiga kelele juu suala la muungano ni haki yao ya msingi. tanganyika iliondoka nchini bila ya makubaliano yoyote. kutokuhoji suala hilo kwa watanganyika kulitokana na uzembe na woga wao sasa ndo kusema kutokana na uzembe huo zanzibar nayo iondoke hivyo hivyo. hapana cha msingi ni kurudisha tanganyijka na si kuondoa zanzibar ile ile serikali ya muungano kama ambavyo imeasisiwa ifanye kazi yake. ila kwa kuwa watanganyika tumezoea jazba ndo mana wazanzibar wakijitetea tunaona kinyaa ila ukweli ni upuuzi wetu wenyewe. nitarudi :juggle:

You are deadly wrog unaposema hakuna mtu ajuaye sababu za Nyerere kutaka kuua jina Tanganyika. Alitaka baada ya muda Fulani na jina la Zanzibar kama nchi nalo lipotee: pabaki serikali moja tu. Wazenji wakamhadaa na kung'ang'ania jina bila kujali maslahi. Na mmoja wa watu aliyepingana na Mwalimu na kulazimisha uzanzibari kwa nguvu, leo hii ni makamu wa rais huko Zanzibar (Hamad) amabaye kama si huruma za mwalimu angekuwa marehemu. Jumbe alizidiwa kete kwa sababu wakati anaropoka mambo ya muungano kulikuwa na vita baridi na hata kama nia yake ilikuwa njea, ingekuwa rahisi kushukiwa kuhusika na CIA au KGB
 
Hapana sisi sio watanganyika kwa kuwa Tanganyika ilikufa toka tarehe 26 aprili 64, hata kama wao ni waznz sisi ni watz tu, tuidumishe tz hata bila znz.
Sikupenda kuchangia jambo hili kwa vile huwa linajadiliwa kishabaiki sana kiasi kuwa mantiki huwa haifanyi kazi tena. Unasema kweli, Tanganyika kama nchi na Zanzibar kama nchi zilikufa baada ya ule Muungano. Ila vitu vyote vilivyokuwa ndani ya ardhi iliyokuwa inaunda taifa la Tanganyika havikubadilika; ndiyo maana tulibaki na miji ya Dar es Salaam, Tabora, Mwanza, Tanga, na hata Ziwa Tanganyika. Vile vile Taifa la Zanzibar lilikufa wakati ule ila vitu vyote vilivyokuwa ndani ya ardhi iliyokuwa ikijulikana kama Taifa la Zanzibar havikufa, hiyo ni pampja na visiwa vya Zanzibar (Ungunja), Pemba, na visiwa vyote vidogovidogo vinavyozunguka eneo hilo.

Ni Bahati mbaya sana kwa baada ya muungano jina la Zanzibar liliendelea kutumika kwa vile lilikuwa ni jina la kisiwa kikubwa ndani ya taifa la Zanzibar, na hivyo kufanya watu watumie jina hilo kama Taifa la zanzibar wakati kiukweli ni kuwa hakuna taifa hilo tena, Hata hivyo, binafsi nilishafanya tathmini binafsi na kuona kuwa muungano mzuri ni ule ambao watu wote wanaufurahia. Iwapo una muungano ambao upande mmoja hauishi manung'uniko, huo muungano haufai. Kwa hiyo itakuwa ni jambo zuri sana kwa Zanzibar kujitoa ndani ya muungano huu ili mataifa ya Tanganyika na Zanzibar yarudi kama mwanzo, ingawa haitakuwa kama ambavyo wasisi wa mataifa haya (Nyerere na Karume) wangependa. Itasaidia mambo mengi kwa pande zote mbili za Muungano; upande mmoja hautakuwa na wa kulaumu na hivyo kushughulikia matatizo yao kikamilifu bila kuwa na scapegoat; na upande wa pili pia utajipunguzia gharama za uendeshaji wa serikali kubwa yenye wabunge wengi, ya mawaziri na makamu wa rais ambao kiukweli hawana mapenzi ya taifa hilo la Tanzania linaloshughulikia mambo yote ya sehemu iliyokuwa inaitwa Tanganyika.
 
Wake zetu hututukana sana, hata raha ya ndoa siioni. Ndoa hii haramu ivunjike.

Nahisi ilikuwa ndoa ya mkeka. Tulifanya mapenzi na Zanzibar mara moja tu kisha tukapewa mke wa kudumu. Naunga mkono hoja, huyu mke aende kwa maana hata sasa ana mabwana nje; namjua mmoja ni OIC.
 
Mkuu huwezi kuwa mtz bila zenji, turudi tu nyumbani sisi ni watanganyika na hakuna anayewezakulibadili hilo, achana na mamwinyi!

Pamoja sisi ni Watanganyika baasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!
 
Pamoja sisi ni Watanganyika baasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!

Naupenda msimamo wako, lakini wao wanajifanya ati hawaiutaki muungano ili tuonekane kuwa ni sisi ndio tunaung'ang'ania na wamefikia kutuita wabara ; jina nisilolipenda daina.

Sisi sio wabara, sio wadanganyika.....ni waTANGANYIKA
 
Nahisi ilikuwa ndoa ya mkeka. Tulifanya mapenzi na Zanzibar mara moja tu kisha tukapewa mke wa kudumu. Naunga mkono hoja, huyu mke aende kwa maana hata sasa ana mabwana nje; namjua mmoja ni OIC.
nilikuona una busara sana katika comment yako ya awali kumbe ni mdini hivi. duh
 
nilikuona una busara sana katika comment yako ya awali kumbe ni mdini hivi. duh

Sio udini, suala kama ni juiya ya kimataifa yenye manufaa tuingie taifa moja na sio kipande kimoja. Nirudishie busara zangu bana
 
Sio udini, suala kama ni juiya ya kimataifa yenye manufaa tuingie taifa moja na sio kipande kimoja. Nirudishie busara zangu bana
kwa taarifa tu ni kwamba znz bado si mwanachama wa oic mpaka hivi ninavyoandika. walitaka wadanganyika wakasema ni suala la muungano and that is why likaibuka tena hivi karibuni. hata hivyo hilo si suala la uzanzibar bali ni la kidini...
 
kwa taarifa tu ni kwamba znz bado si mwanachama wa oic mpaka hivi ninavyoandika. walitaka wadanganyika wakasema ni suala la muungano and that is why likaibuka tena hivi karibuni. hata hivyo hilo si suala la uzanzibar bali ni la kidini...

Kama ni suala la kidini mbona kwa sasa Znz kuna walokole kibao! Wao watakwenda wapi ikiwa OICZNZ?
 
Ni kitu kibaya sana duniani kufikia hadi kuukataa historia ya Taifa lako....Tanganyika ni Taifa la watanganyika......mbona wazanzibari wanapenda sana kujiiita wao ni Wazanzibar na ukimwita Mtanzania hatopendelea wala hatokuwa na furaha kabisa.....
ni bora muji Proud kama ni Watanganyika kuliko Tanzania kama vile wazanzibari Wanavyoji proud wao ni wazanzibari tu hadi mwisho wa dunia hii.
 
Zanzibar gained Independence from Britain 10th December 1963

znzcopy.jpg
 
Ni kitu kibaya sana duniani kufikia hadi kuukataa historia ya Taifa lako....Tanganyika ni Taifa la watanganyika......mbona wazanzibari wanapenda sana kujiiita wao ni Wazanzibar na ukimwita Mtanzania hatopendelea wala hatokuwa na furaha kabisa.....
ni bora muji Proud kama ni Watanganyika kuliko Tanzania kama vile wazanzibari Wanavyoji proud wao ni wazanzibari tu hadi mwisho wa dunia hii.

Nani huyo asiyeona pride kuitwa Mtanganyika? Mimi Mtanganyika wa ukweli na sipendi kuitwa mbara, hili jina ni la "kishenzi"
 
MTIHANI WA HISTORIA DARASA LA 4 HADI CHUO KIKUU MWAKA WA 3

(Kwa sababu watanzania lugha yetu ya Taifa ni Kiswahili, nimeona ni vyema mtihani huu ukatungwa kwa lugha ambayo wote tunaielewa vizuri.)
Andika herufi ya jibu sahihi katika mabano kulia
1.Nchi iliyopo Afrika ya Mashariki iliyopata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961 ni:
A) Tanzania
B) Tanzania bara ( )
C) Tanganyika
D) Zanzibar

2.Nchi iliyopo Afrika ya Mashariki ambayo tarehe 9 Desemba 2011 inatimiza miaka 50 ya uhuru wake ni:
A) Tanzania
B) Tanzania bara ( )
C) Tanganyika
D) Zanzibar

Sikiliza vyombo vya habari halafu tafakari jibu lako!
 
Sasa unataka jibu kulingana na tafakari yangu ya yanayosemwa na vyombo vya habari, ulichofundisha au ninachfahamu?
 
Sasa unataka jibu kulingana na tafakari yangu ya yanayosemwa na vyombo vya habari, ulichofundisha au ninachfahamu?
Nimesema sikiliza vyombo vya habari halafu tafakari jibu lako; maana yake jibu lako litangulie halafu tafakari ifuate. Sijasema sikiliza vyombo vya habari halafu weka jibu, maana yake jibu tumia yote unayojua kujibu maswali hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom