Nchi ya tanzania kila kitu uzinduzi

Nchi ya tanzania kila kitu uzinduzi

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,369
Baada ya uzinduzi wa kutakuwa na sheree ya mchana na usiku tutamuita msanii kuburudisha
FB_IMG_1781325080750.jpg
 
Baada ya uzinduzi wa kutakuwa na sheree ya mchana na usiku tutanuita msanii kuburudisha View attachment 3606768
Siasa za Tanzania kwa kiasi kikubwa zimejengwa kwenye misingi ya utamaduni wa watu wa Pwani hasa Dar na maeneo ya pembezoni. Ni utamaduni wa sherehe nyingi, maneno mengi bila vitendo, ngono, uvivu, dhihaka na ku-relax muda wote. Pengine ni kwa sababu Dar ni kusanyiko la utawala wa nchi na makabila mengi.
 
Siasa za Tanzania kwa kiasi kikubwa zimejengwa kwenye misingi ya utamaduni wa watu wa Pwani hasa Dar na maeneo ya pembezoni. Ni utamaduni wa sherehe nyingi, maneno mengi bila vitendo, ngono, uvivu, dhihaka na ku-relax muda wote. Pengine ni kwa sababu Dar ni kusanyiko la utawala wa nchi na makabila mengi.
Ungemalizia tu kusema waislam, lkn asilimia 90 ya watumishi wa umma ni makafiri wasomi wenye akil
 
Ungemalizia tu kusema waislam, lkn asilimia 90 ya watumishi wa umma ni makafiri wasomi wenye akil
Mkuu soma vizuri. 1. Utamaduni wa watu wa Pwani has nothing to do with Islam. Sherehe na ngoma ni utamaduni wa wakazi na siyo uislam. Hata uvivu na kupenda kuongea sana siyo Uislam. Nimesema hii tabia imeambukizwa kwa watanzania wote. Yaani kupitia uongozi wa CCM, tabia imesambaa na watu wengi wameikubali. Hakuna cha mwislam mtumishi wa umma, wala mkristo wala mpagani. Wote lao moja.
 
Back
Top Bottom