Nchi ya Marekani yafuta Uraia Pacha!

Nchi ya Marekani yafuta Uraia Pacha!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,272
Reaction score
14,928
Hoja kubwa ya wanadiaspora ilikuwa siku zote ni kwamba Dunia imebadilika na kwamba Nchi zote zinaruhusu Uraia pacha na mfano wao mkubwa ulikuwa ni nchi ya Marekani, sasa hiyo Marekani yenu imefuta rasmi Uraia pacha na hii ni baada ya kupima na kuona ya kwamba Marekani kama nchi inapata hasara zaidi kuliko faida kwa kuwa na Uraia pacha na walichokifanya ni hivi kama ukiwa na Uraia miwili basi ni lazima ulipe kodi nchi zote mbili yaani kwa mfano wewe ni una Uraia wa Marekani na unaishi na kufanya kazi TZ basi ni lazima ulipe kodi mara mbili yaani ulipe TZ na pia Marekani na kwa Marekani kodi ni asilimia 30% ya mshahara wako jambo lililopelekea Wamarekani wengi waliokuwa na Uraia pacha kurudisha mmoja na kubakia na mmoja tu!

Hivyo Madiasopra bado hamjanishawishi kwa nini turuhusu Uraia Pacha nchini kwetu kama hata role model wenu ameufuta rasmi (kiujanja)!
 
Basi hawajafuta bali masharti ndio yamekuwa magumu!!
 
Hoja kubwa ya wanadiaspora ilikuwa siku zote ni kwamba Dunia imebadilika na kwamba kila Nchi zote zinaruhusu Uraia pacha na mfano wao mkubwa ulikuwa ni nchi ya Marekani, sasa hiyo Marekani yenu imefuta rasmi Uraia pacha na hii ni baada ya kupima na kuona ya kwamba Marekani kama nchi inapata hasara zaidi kuliko faida kwa kuwa na Uraia pacha na walichokifanya ni hivi kama ukiwa na Uraia miwili basi ni lazima ulipe kodi nchi zote mbili yaani kwa mfano wewe ni una Uraia wa Marekani na unaishi na kufanya kazi TZ basi ni lazima ulipe kodi mara mbili yaani ulipe TZ na pia Marekani na kwa Marekani kodi ni asilimiani 30% ya mshahara wako jambo lililopelekea Wamarekani wengi waliokuwa na Uraia pacha kurudisha mmoja na kubakia na mmoja tu!

Hivyo Madiasopra bado hamjanishawishi kwa nini turuhusu Uraia Pacha nchini kwetu kama hata role model wenu ameufuta rasmi!

Wapi kuna tamko rasmi kwamba Marekani imefuta uraia pacha?

Not that I am crazy about uraia pacha or anything of that limitation.

Unaelewa tofauti ya kodi na uraia?

Kuna watu si taia wa Marekani wala hawaishi Marekani ila wanalipa kodi kwa kuwa na nyumba Marekani tu.

Hao raia?
 
katiba ya Marekani haijaandikwa na Chenge imeandikwa miaka 200 iliyopita na haibadiliki hovyo!. Chenge ameshidwa uwenyekiti kwa ufisadi lakini ndiye anaandika katiba ya nchi !!!!
 
Tulianza kuogopa Wakenya kwamba watachukua kazi zetu wanajua kiingereza, tukaogopa Wachina wachukua nchi, tukaogopa Wahindi na wawekezaji sasa tunaogopa Watanzania walioenda nje! hatuwezi kutatua tatizo la uvivu kwa kuogopa!!
 
Hii hoja yako haina mashiko! Huu ni utaratibu tu wa Internal Revenue Service yaani ni utaratibu wa kodi (mapato) na sio kufuta uraia pacha kama unavyojaribu kutujulisha. Kwa taarifa tu nchi nyingi zinazoruhusu raia pacha zina mfumo huu wa maswala ya kodi.
Hoja kubwa ya wanadiaspora ilikuwa siku zote ni kwamba Dunia imebadilika na kwamba Nchi zote zinaruhusu Uraia pacha na mfano wao mkubwa ulikuwa ni nchi ya Marekani, sasa hiyo Marekani yenu imefuta rasmi Uraia pacha na hii ni baada ya kupima na kuona ya kwamba Marekani kama nchi inapata hasara zaidi kuliko faida kwa kuwa na Uraia pacha na walichokifanya ni hivi kama ukiwa na Uraia miwili basi ni lazima ulipe kodi nchi zote mbili yaani kwa mfano wewe ni una Uraia wa Marekani na unaishi na kufanya kazi TZ basi ni lazima ulipe kodi mara mbili yaani ulipe TZ na pia Marekani na kwa Marekani kodi ni asilimia 30% ya mshahara wako jambo lililopelekea Wamarekani wengi waliokuwa na Uraia pacha kurudisha mmoja na kubakia na mmoja tu!

Hivyo Madiasopra bado hamjanishawishi kwa nini turuhusu Uraia Pacha nchini kwetu kama hata role model wenu ameufuta rasmi (kiujanja)!
 
Uraia pacha kwetu bado sana. Watu wachache hawawezi kutupangia watu zaidi milioni 45. Kwakuwa wao wanapanda ndege na kwenda ng'ambo.
 
Hoja kubwa ya wanadiaspora ilikuwa siku zote ni kwamba Dunia imebadilika na kwamba Nchi zote zinaruhusu Uraia pacha na mfano wao mkubwa ulikuwa ni nchi ya Marekani, sasa hiyo Marekani yenu imefuta rasmi Uraia pacha na hii ni baada ya kupima na kuona ya kwamba Marekani kama nchi inapata hasara zaidi kuliko faida kwa kuwa na Uraia pacha na walichokifanya ni hivi kama ukiwa na Uraia miwili basi ni lazima ulipe kodi nchi zote mbili yaani kwa mfano wewe ni una Uraia wa Marekani na unaishi na kufanya kazi TZ basi ni lazima ulipe kodi mara mbili yaani ulipe TZ na pia Marekani na kwa Marekani kodi ni asilimia 30% ya mshahara wako jambo lililopelekea Wamarekani wengi waliokuwa na Uraia pacha kurudisha mmoja na kubakia na mmoja tu!

Hivyo Madiasopra bado hamjanishawishi kwa nini turuhusu Uraia Pacha nchini kwetu kama hata role model wenu ameufuta rasmi (kiujanja)!

Nafikiri ingekuwa jambo la busara kuweka source ya taarifa yako hapa kuliko kuweka post na kuingia mitini. Mtu kurudisha uraia wa nchi moja na kubaki na mmoja doesn't mean nchi iliyorudishiwa passport yake hairuhusu uraia pacha. Hivyo ningekushauri uweke source ya info yako, vinginevyo huu unaweza kuitwa udaku.
 
Mtu anaanzisha mada halafu hajitokezi kujibu hoja za wanaukumbi hata kuweka chanzo cha habari yake hataki.

Huu huwa ni upuuzi wa aina yake.

Bora nyuzi za aina hii ziwe zinatolewa tu.
 
limetumbuka

Habari yako HAINA UKWELI wowote!Kufuta uraia pacha USA ni hatua ndefu mno!Hamna hata motion kama hiyo ndani ya USA Congress!

Ni habari za mitaani tu hizi
 
Last edited by a moderator:
tukiruhusu uraia pacha kelele tulizopiga ardhi isiwepo kwenye vipengele vya EAC itakuwa zilikuwa kazi bure.
 
Mtu anaanzisha mada halafu hajitokezi kujibu hoja za wanaukumbi hata kuweka chanzo cha habari yake hataki.

Huu huwa ni upuuzi wa aina yake.

Bora nyuzi za aina hii ziwe zinatolewa tu.

Huyo karusha ndimu kwenye sega la nyuki! mziki wa diaspora hauwezi
 
Back
Top Bottom