Kurmodosla
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 330
- 202
Aliyeko ofisini na mwingine wa nyumbani tayari ni watu wawili kwa hiyo nguvu inakuwa ya watu wawili wanaendesha nchi nguvu inakuwa kubwa ndiyo tutafika kwenye maendeleo kwa haraka kuliko angekuwa mtu moja.