Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Oya wee choko.. mimi nina mke na watoto wawili, kwahiyo acha kunitumia picha zako za ushoga PM. Kwanza achilia mbali hela unayotaka, mimi hata ukinipa bure siwezi kukupumulia maana ninakinyaa sana, kamwe siwezi kuingiza kibunzi changu kule. Nakusaidia kuweka picha yako hapa ili mwenye shida na ww akutafute kupitia comment hii. Mambo ya kutumia watu picha PM hayatokusaidia.

View attachment 2061404
Duh
 
Oya wee choko.. mimi nina mke na watoto wawili, kwahiyo acha kunitumia picha zako za ushoga PM. Kwanza achilia mbali hela unayotaka, mimi hata ukinipa bure siwezi kukupumulia maana ninakinyaa sana, kamwe siwezi kuingiza kibunzi changu kule. Nakusaidia kuweka picha yako hapa ili mwenye shida na ww akutafute kupitia comment hii. Mambo ya kutumia watu picha PM hayatokusaidia.

View attachment 2061404
Jesus is Lord
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Subscribed!!
 
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa ndan waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe, afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?
Sasa ndugu kiongozi wa dini, kwani huu uzi unahusu ushoga?

Kwa nini usiende kuchangia kwenye uzi wa mashoga ukatuacha sisi tujadili mambo ya msingi kuliko wewe kuanza kutuletea ushoga kwenye uzi ambao hauhusiani? au wewe muda wote unawaza ushoga tu?
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Mkuu natambua kuwa Msoga kamuingiza mama mkenge kwa kutangaza nia mapema ya kugombea hapo 2025 !Lengo la msoga ni kumchonganisha mama na team jpm akose sapoti yao ili mama aegemee kwa Msoga camp kwa sapoti! Na msoga autumie mwanya huo kuingiza watu wake wa upigaji kwenye system na ndicho kilichotokea Hadi sasa!!Team jpm itamsumbua mama Hadi hapo 2025 na vugu vugu hilo litasababisha the state kuja na jina jingine la kupeperusha Bendera ya chama Ndipo huyo muislam atapewa kijiti mwenye silika ya jpm !!nadhani kina Jafo, juma Aweso ,Bashiru,Majaliwa na hata Mwinyi junior wanaweza kua mbadala wa mama hapo 2025!!!LAKINI mama kutangaza nia mapema kutamuengua kwenye kinyang'anyiro ndani ya chama hapo 2025!!
 
watajua hawajui...wapo wapuuzi watakubishia ...kila mkoa,wilaya,kata/kijiji si wanaume wala wanawake wanasema hakuna rais hapo

na tulionya mapema sana huyu mama akienda na watu wa msoga itakula kwake hakuna watu wanaochukiwa na wananchi kama hao (msoga) sababu ni utawala wao ulijaa kila aina ya ufisadi na nchi kudidimia kweli kweli

kuna kikundi cha watu wachache ambacho kimo hata humu kazi yake ni kumpamba samia kwa uongo kuwa yupo kwenye njia sahihi...atakuja kushtuka too late sana
Ho ndo wanaomshadadia na kumtukana magufuli kila kukicha na kumsingizia kil aina ya uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hayo yote siyajui na siyo muhimu kwangu. Ila najua jambo moja tu kwa CCM kuendelea kuwa madarakani na kwa katiba hiii maendeleo ya kweli tutayasubiri sana.
 
Back
Top Bottom