inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,771
- 22,575
Unachostahili ni kipi!?Kwani mwanzo walikuwa wanapata wapi hela yao?
Mbona makato yalikuwepo.
Yaani makampuni ya simu wanalipa Kodi,ukitoa hela unakatwa ada,
Hapo hapo inaingia" TOZO YA SERIKALI"
hata Kama kulipa Kodi huu ni uonevu.
CHUKUA UNACHOSTAHILI.
"ADA YA MIAMALA"Unachostahili ni kipi!?
Mbona na wewe shoga au mpaka tukutajie wanaokubokoa?Unamchekeaje mtu Kama TUNDU LISSU na "MASHOGA ZAKE" wa CDU waliotaka kupeleka muswada na kulobby BUNDESTAG ili MRADI WA BWAWA LA MWALIMU NYERERE usitishwe......
Huyu hapa GODFATHER mmojawapo.....View attachment 1984619
Nakuuliza wewe kubwa la ma taahira,onyesha nchi hata 3 za Kiafrika zilizo na maendeleo kama Asia au Ulaya..Angalia TAAHIRA huyu!!!! Hujui kama nchi nyingi za Afrika kuna Dikteta na madhalimu kama maccm ambayo ni majizi, mafisadi na wauaji? Sasa Madikteta ambayo yako madarakani ili KUJITAJIRISHA lini watawaza kueta maendeleo PUMBAVU wewe!!! Afrika hakuna maendeleo lakini hujui sababu!!! Kwa hito kama Afrika hakuna maendeleo basi TUKLUBALI tu kwamba pamoja na Tanzania kuwa na UTAJIRI mkubwa rasilimali mbali mbali gesi, dhahabu, almasi, Tanzanet etc na mikopo na misaada toka nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa kama SIDA, WB, IMF etc tukubali tu MEDIOCRE PERFOMANCE ya nchi iliyo huru kwa miaka 60 KUTOKUWA na maendeleo!!!! Hahahahahahah BONGO ZWAZWA!!!!
Na bado mtanyooka kumbe mlitegemea mteremko kwa vimaneno vyenu vya kijinga kwamba mwanamke ni dhaifu sasa anawapelekea moto mnajamba Jamba tuu kwenye vyumba vyenu hamna cha kufanya ππ.Ni aibu kwa rais mwanamke kubehave like some of those cruel African men presidents!!
Nakuuliza wewe kubwa la ma taahira,onyesha nchi hata 3 za Kiafrika zilizo na maendeleo kama Asia au Ulaya..
Kwanza ulivyo mpumbavu umekariri ujinga kichwani kwamba kuishi kwenye compound Moja na mahakama ndio kujua sheria?
Kwa taarifa yako matatizo mengi ya Kiafrika sio ya ndani bali mfumo usio sawa wa uchumi Duniani..
Kwa akili yako finyu nitajie mambo ambayo hayajafanyika na Waafrika ambayo yamesababisha maendeleo haba kiasi kwamba wapuuzi nyie machadomo mkiwa viongozi yatafanyika na nchi itapaa kama Ulaya na uniambie time frame yenu maana umekalia udikteta tuu wakati Libya kulikuwa na Nafuu na ushenzi unaoitwa demokrasia haukuwepo.
Kuzunguka koooote kumbe shida yako ni uchaguzi πππ..Tuondolee ujinga wako pimbi wewe!!! unategemea madikteta wasiotaka uchaguzi HURU na wa HAKI katika nchi za Afrika walete maendeleo badala ya kutunisha mifuko yao na their bank accounts outside of Africa!? Akili ya wapi hii BONGO ZWAZWA!? π³π³π³π³
Bado inamaanisha serikali inahitaji hela,hawawezi chukua hela ili kujifurahisha tu"ADA YA MIAMALA"
ambapo ndani yake kuna kodi ya serikali.
Sio huo utapeli wa TOZO.
makampuni ya simu yanalipa Kodi,wakala analipa Kodi,mteja analipa Kodi.
Bado unamuongezea na too kweli?.
tena nje ya ada ya kufanya muamala
Yaani ada ipo peke yake na tozo ipo peke yake.inaumizA Sanaa Bora wangeunganisha
Nakuuliza wewe kubwa la ma taahira,onyesha nchi hata 3 za Kiafrika zilizo na maendeleo kama Asia au Ulaya..
Kwanza ulivyo mpumbavu umekariri ujinga kichwani kwamba kuishi kwenye compound Moja na mahakama ndio kujua sheria?
Kwa taarifa yako matatizo mengi ya Kiafrika sio ya ndani bali mfumo usio sawa wa uchumi Duniani..
Kwa akili yako finyu nitajie mambo ambayo hayajafanyika na Waafrika ambayo yamesababisha maendeleo haba kiasi kwamba wapuuzi nyie machadomo mkiwa viongozi yatafanyika na nchi itapaa kama Ulaya na uniambie time frame yenu maana umekalia udikteta tuu wakati Libya kulikuwa na Nafuu na ushenzi unaoitwa demokrasia haukuwepo.
Sasa ww unawaogopa Hizbu hebu elezea walichokufanya hizbu labda walikutia maji ya sumu au vipi?Endelea kusikitika tu....
Huyo ni HIZBU....hizo hoja zake zifikirie/zikumbatie na kukufurahisha wewe.....