Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Awali ilikua nikiangalia taarifa ya Habari ni majanga tu kuhusu machafuko/vita/mauaji ya kimbari/ugaidi etc; sasa hivi naona kibao kimetugeukia, jana niliangalia taarifa ya habari ITV
Najiuliza tunaekea wapi?
Je Nchi Imesimama?
- Wafanyabiashara Wanalalamikia EFD/maduka yamefungwa karibu nchi nzima
- Wakulima Wanalalamika Bei Ndogo ya Korosho/Pamba etc
- Wasafirishaji wanagomea kushushwa kwa nauli-Songea
- Wananchi wanalalamika umeme bei juu na wengi wamewasha taa kwa nusu mwezi tu (giza nyumba nyingi) na Guest/Lodge/Hotel vyumba vimepanda bei
- Mafuriko/Barabara zimekatika kuunganisha mikoa ya Kaskazini
- ........................................................
Najiuliza tunaekea wapi?
- Mkuu wa Nchi yupo nje ya Nchi
- Makamu wa Rais yupo bize na Katiba
- Mawaziri (Fedha) wako kwenye kampeni za siasa
- Wenye nchi (Chama) wanahojiana Dodoma -tena wamewaita mawaziri etc
- ......................................................
Je Nchi Imesimama?