Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 994
Halmashauri hazina fedha........................
Matokeo ya uteuzi wa rais hayo.
Halmashauri hazina fedha........................
Una kichaa kichwani,punguza kunywa gongo uliyohalalishiwa na padri slaa,ipo siku atahalalisha kuoa wake zenu makada wake.
Kama waziri mkuu yupo basi kila kitu kipo sawa.
na li ccm bado linapendwa tu.kweli hiki ndiyo kipimo cha ujinga, unajua nimesoma kuwa kilimanjaro inaongoza kwa mambo fulani ya elimu ila pia hawa majamaa ni wajanja maana wameelimika hata wabibi kule wanakuambia nchi hii haijapata mtu wa kuiongoza.maji,umeme,barabara nzuri,mashule na mahospitali pamoja na mawasiliano vilikuwepo siku nyingi lakini angalia baadhi ya maeneo mengi ccm hawapati maana bado watu wanataka maisha bora zaidi.tujifunze.
Wizara hazifanyi kazi, OC haziendi katika idara na kazi ni kama zimesimama nchi inadidimia. Akina Nchemba wanazidi kupaa
Nchi hii sasa hivi imekuwa ni ya washikaji na kishikaji tu.
kwahiyo na huyo naye anaweza kuwa raisi.hapo si tumeisha....mkuuu hizi ni moja ya picha zinazo umiza sana moyo wangu,nikiona watoto wadogoo wanateseka kutokana na ulafi wa wachache. hawa hawastahili mateso haya hata kidogo. Mungu atusamehe kwa uovu wetu....!!! looooh !
Nakubali unalolisema ni sahihi: ndiyo maana sisi watumishi tunatakiwa kuongoza kuikataa CCM hasa kwa haya matendo yake ya kupuuza watumishiOfisi za Mikoa ndio kabisaaaaa! Watu waenda ofisini kujisomea magazeti tu!
Sure that is true, hazina inajifanya haioni hiloHalmashauri hazina fedha........................