Anatoy
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 332
- 222
Bado natafakari sijajua kwa maisha tuliyonayo sasa Watanzania ni wapi tunapelekwa na utawala huu maana maisha yamekuwa kama tunaishi kuzimu maana hali ni mbya sana.
Tunaoweza kusema tuseme na tuwaambie watawala kuwa haya sio maisha tuliyopaswa kuishi huku tukisema Tanzania ni Nchi huru.
Kwa maisha haya uhuru unakuwa hauna maana.
Uhuru bila maisha bora ni ujinga.
Tukisubiri kuona watu barabarani wamekufa huenda tutaelewana maana kwa sasa kuna watu wanajifanya vipofu.
Tunaoweza kusema tuseme na tuwaambie watawala kuwa haya sio maisha tuliyopaswa kuishi huku tukisema Tanzania ni Nchi huru.
Kwa maisha haya uhuru unakuwa hauna maana.
Uhuru bila maisha bora ni ujinga.
Tukisubiri kuona watu barabarani wamekufa huenda tutaelewana maana kwa sasa kuna watu wanajifanya vipofu.