Hapa sasa,ukiwa na ukwasi unaweza kumpatia mtu au taasisi, ndicho alichofanya James RugeBwan Bwana, kwani account ya kanisa Ruge hakuwa anaijua
Hapa sasa,ukiwa na ukwasi unaweza kumpatia mtu au taasisi, ndicho alichofanya James RugeBwan Bwana, kwani account ya kanisa Ruge hakuwa anaijua
Sikuelewi unakataa nini unakubali nini hapo juu kuna sehemu imeandikwa ni mchango wa nini?Mimi au wewe sio sawa na Askofu kaka
Kama ni za mchango why ziingie kwenye kaunti bnafsi?
Utaratibu wa michango upo wazi
Inategemea na kiasi cha muamalaMwingine hata ningekuwa mimi nisingerudisha hata kumi,mtu ana biashara zake unathibitisha vipi alizonipa mimi ndizo alizokuibia hakuzitoa kwenye faida ya biashara zake?
FEKI HIIC& p
Nchi imepitia mengi hii
Weka wewe original tuione!FEKI HII
Catholic kwa maadiliC& p
Nchi imepitia mengi hii