Vijana wa CCM wengi hawana hoja na wapo kwa maslahi. Wanao jielewa kama Polepole hata Gwajima sio mzee wanaongea. Lakini ukienda mfano Chadema wote wanaongoza ni vijana vijana tu. Ukienda kwenye mitandao ni vijana . CCM ni Kikwete, Mama na wana mitandao aka wapiga deal. Hapa tuna wajinga jinga machawa ambao wanalipwa kwa propaganda ambazo wameshidwa