shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.