Nchi gani hii?

Tuwape taifa stars
Sure, mie nadhani red meat zinawa intoxicate. Hii mambo haili chemical na imejaa natural rich proteins. Wachague mapishi tu. Haiwezekani wachezaji wa west africa wang'ae peke yao miaka yote kwenye ligi zenye mishahara ya juu.
 
nimewahi kula chura huko Mozambique bila kujijua na nilipogundua wale ni chura nilisikia kinyaa balaa....lakini nyama yake tamu kiaina
 
daaadek hivi vitu ndo mtanifanya nisisafiri aisee...! au ukienda nchi za watu unakuwa vegetarian tu!

Twin tuendelee kubaki Moshi.......hii sio kabisa.......Wayiii........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…