Tanzania ni kati ya nchi zenye Wanasayansi bora Duniani. Namba 9 Afrika na Namba 96 Duniani

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,382
8,437
Kudos Watanzania..

Tanzania imetajwa kwenye Orodha ya Nchi 100 zenye wanasayansi Bora ambao machapisho Yao yamekuwa yenye manufaa Dunia.

Kwa Mujibu wa Taasisi inayochapisha tafiti za kisayansi ya "AD Scientific Report 2023" mwaka 2023 Tanzania imeshika namba 96 Duniani,namba 2 Afrika Mashariki na Namba 9 kwa Afrika.

Majina ya Wanasayansi na Taasisi wanazofanyia kazi vimebainishwa kwenye ripoti hiyo ambayo imeiletea heshima Tanzania.

Hongera Sana kwa Wanasayansi wetu kwa kuitendea Haki taaluma yenu na hivyo kuifanya elimu ya Tanzania kuwa ya maana na kuto bezwa Tena.

Pongezi nyingi Sana ziwaendee Wanasayansi wa Taasisi ya NIMR na Ifakara Heath Institute (Ihi).👇

 
Kudos Watanzania..

Tanzania imetajwa kwenye Orodha ya Nchi 100 zenye wanasayansi Bora ambao machapisho Yao yamekuwa yenye manufaa Dunia.

Kwa Mujibu wa Taasisi inayochapisha tafiti za kisayansi ya "AD Scientific Report 2023" mwaka 2023 Tanzania imeshika namba 96 Duniani,namba 2 Afrika Mashariki na Namba 9 kwa Afrika.

Majina ya Wanasayansi na Taasisi wanazofanyia kazi vimebainishwa kwenye ripoti hiyo ambayo imeiletea heshima Tanzania.

Hongera Sana kwa Wanasayansi wetu kwa kuitendea Haki taaluma yenu na hivyo kuifanya elimu ya Tanzania kuwa ya maana na kuto bezwa Tena.

Pongezi nyingi Sana ziwaendee Wanasayansi wa Taasisi ya NIMR na Ifakara Heath Institute (Ihi).👇


Kinadharia yes. Kivitendo, zilch.
 
Kama ni kweli tungeendelea sana, mf sayansi kuhusu mfumo wa maji, mito na maziwa mengi ila tunateseka na ukame! Hao wanasayansi wanafanya nini? Wakandarasi wengi ni wageni, hao wetu wanafanya nini? Hayo ni baadhi tu ya maswali.
Wanasayansi wanafanya kazi Yao ,swala la kutumia tafiti zao Ni zenu .Waliotoa hii taarifa Kama umesoma hapo Kuna watu wanatumia hizi tafiti za Wanasayansi wa Tanzania.
 
Kudos Watanzania..

Tanzania imetajwa kwenye Orodha ya Nchi 100 zenye wanasayansi Bora ambao machapisho Yao yamekuwa yenye manufaa Dunia.

Kwa Mujibu wa Taasisi inayochapisha tafiti za kisayansi ya "AD Scientific Report 2023" mwaka 2023 Tanzania imeshika namba 96 Duniani,namba 2 Afrika Mashariki na Namba 9 kwa Afrika.

Majina ya Wanasayansi na Taasisi wanazofanyia kazi vimebainishwa kwenye ripoti hiyo ambayo imeiletea heshima Tanzania.

Hongera Sana kwa Wanasayansi wetu kwa kuitendea Haki taaluma yenu na hivyo kuifanya elimu ya Tanzania kuwa ya maana na kuto bezwa Tena.

Pongezi nyingi Sana ziwaendee Wanasayansi wa Taasisi ya NIMR na Ifakara Heath Institute (Ihi).

Huu utafiti umeufanyia wapi. Ndio wanaweza kuwepo lakini wako nchi zingine! Walioko nchi I wachache lakini kutokana na urasimu wa Serikali na KATIBA chakavu viongozi wanajiona wanauwezo wa kukagua walio Bora.
 
Back
Top Bottom