Bright Smart
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 643
- 312
ni muda huu bungeni Nchemba kasema "wanaume wanapoongea,watoto wa kiume wakae chini" akimaanisha Mnyika ni mtoto wa kiume.
Mtazamo wangu naona hawa wakina Nchemba wanaowalamba miguu kina JK hata akicheka wanapiga makofi kwamba ni point ili wapate kusukuma life ndo watoto wa kiume hawa.
Mtazamo wangu naona hawa wakina Nchemba wanaowalamba miguu kina JK hata akicheka wanapiga makofi kwamba ni point ili wapate kusukuma life ndo watoto wa kiume hawa.