Nchemba anapomuita Mnyika mtoto wa kiume

Nchemba anapomuita Mnyika mtoto wa kiume

Mwingulu Nchemba kweli is a pyschiatric case! kwani anamuona Mnyika ni wa kike?!

Mnyika na huo "utoto wa kiume" ni Tsunami inayowajia, ndio maana akisimama kuzungumza bunge zima; wazee kwa vijana, wake kwa waume na kina Nchemba "Mtoto wa mama" they all sit up and listen, mpaka mzee wa kutafakari Wassira hawezi kusinzia wakati John Mnyika anazungumza. Jembe lile!
 
Na spika kachukua uamuzi gani? Ama ni huyu huyu ndunga?

hajachukua hatua yoyote zaidi ya kusema"mheshimiwa ondoa maneno yako ya mwisho",kama vp angewaita askari wamtoe nje.
 
sasa napata majibu! siezi tena washangaa hawa waheshimiwa,coz wachangiaje hapa mnawakosoa kwa kuwatukana na kuwakejeli! basi ndo jamii ilivyo sema wale wanaonekana tuu kwenye tv! mtizamo
 
Daah labda anamanisha tofauti ya mwanaume na mtoto wa kiume.me kwa fikra zangu mwanaume ni yule aliyeoa na anawatoto(ameshazalisha) mtoto wa kiume ni yule ambaye bado kuoa na kama ameoa bado kuwa na mtoto/watoto.Nimtazamo tu.
 
Kwa heshima ya Chombo kama Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kutumiwa zaidi kama ni jukwaa la malumbano ya itikadi za siasa za kichama inasikitisha na inatukera sana Watanzania! Nchemba kwa heshima na nafasi ndani ya chama chake,kumwita Mh. Mbunge mwezake tena aliyechanguliwa kwa kura nyingi zaidi kuliko yeye na wezake kuwa ni mtoto wa kiume ni aibu yake mwenyewe,Chama chake na hata familia yake.
 
Nchemba ni janga jingine la kitaifa linaloandaliwa.........
ni muda huu bungeni nchemba kasema "wanaume wanapoongea,watoto wa kiume wakae chini" akimaanisha mnyika ni mtoto wa kiume.
Mtazamo wangu naona hawa wakina nchemba wanaowalamba miguu kina jk hata akicheka wanapiga makofi kwamba ni point ili wapate kusukuma life ndo watoto wa kiume hawa.
 
Wabunge wameamua kutudharau sisi masikini tuliowapa nafasi ya kutuwalikisha
Ni baadhi yao sio wote wananikera sana
 
Back
Top Bottom