Habari zilizotufikia sasa hivi ni kwamba Jaji Fatuma Massengi amekataa ombi la NCCR Mageuzi kutengua matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa CCM Virajilal Jitu Son. Hii ndiyo hukumu ya kwanza kutolewa katika kesi za uchaguzi zilizofunguliwa na kusikilizwa hadi mwisho. Habari zaidi zitawajia hivi punde!