NCCR-MAGEUZI imeshinda pingamizi kuhusu Polisi kuzuia Mikutano ya vyama vya siasa kinyume na Katiba

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,810
11,978
Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam, jana 20/01/2022 imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na Jamhuri dhidi ya Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na Baraza la Wadhamini la NCCR-Mageuzi linalopinga kitendo cha jeshi la Polisi kuzuia kufanyika kwa mikutano ya vyama vya Siasa nchini.

===

NCCR-MAGEUZI: Tunapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa, Mahakama Kuu Dar es Salaam, Kesi iliyofunguliwa na Chama chetu cha NCCR-Mageuzi Kesi Na 27 ya 2021 ambayo tumewashitaki (Mwanasheria Mkuu, IGP, RPC Kanda Maalum DSM, RPC-Ilala, na OCD-Ilala, imeendelea chini ya Jaji JOHN MGETTA ambapo Mahakama imetoa maamuzi ya pingamizi lililowekwa na serikali.

Mahakama chini ya Jaji MGETTA imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na serikali.

Shauri litatajwa tena mbele ya jopo la majaji watatu tarehe 7 Februari 2022 Saa 8:00 Mchana, Mahakama Kuu Dar Es Salaam, kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuwasilisha hoja za msingi za namna Jeshi la Polisi (@tanpol) lilivyokiuka Katiba na sheria za nchi.
 
Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam, jana 20/02/2022 imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na Jamhuri dhidi ya Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na Baraza la Wadhamini la NCCR-Mageuzi linalopinga kitendo cha jeshi la Polisi kuzuia kufanyika kwa mikutano ya vyama vya Siasa nchini.

===

NCCR-MAGEUZI: Tunapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa, Mahakama Kuu Dar es Salaam, Kesi iliyofunguliwa na Chama chetu cha NCCR-Mageuzi Kesi Na 27 ya 2021 ambayo tumewashitaki (Mwanasheria Mkuu, IGP, RPC Kanda Maalum DSM, RPC-Ilala, na OCD-Ilala, imeendelea chini ya Jaji JOHN MGETTA ambapo Mahakama imetoa maamuzi ya pingamizi lililowekwa na serikali.

Mahakama chini ya Jaji MGETTA imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na serikali.

Shauri litatajwa tena mbele ya jopo la majaji watatu tarehe 7 Februari 2022 Saa 8:00 Mchana, Mahakama Kuu Dar Es Salaam, kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuwasilisha hoja za msingi za namna Jeshi la Polisi (@tanpol) lilivyokiuka Katiba na sheria za nchi.
Wanataka tuamini kwamba Mahakama iko Huru?? ili iweje? we know all long especially issue inapomhusisha Mbatia🤣🤣
 
Habari njema hii kwa chama dume CCM. Kwani tutatumia uhuru huo kumnadi raus wetu kipenzi cha wengi Mama yetu Samia Suluhu Hasani
 
Huu mchezo tunachezewa watanzania..ccm kuweni hata nachembe ya huruma kwa hii nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Nyerere angefufuka leo angeshangaa sana.
Uhuru na haki aliopigania yy na wenzake umepokwa na wakoloni wa sasa, weusi🙄
 
Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam, jana 20/02/2022 imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na Jamhuri dhidi ya Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na Baraza la Wadhamini la NCCR-Mageuzi linalopinga kitendo cha jeshi la Polisi kuzuia kufanyika kwa mikutano ya vyama vya Siasa nchini.

===

NCCR-MAGEUZI: Tunapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa, Mahakama Kuu Dar es Salaam, Kesi iliyofunguliwa na Chama chetu cha NCCR-Mageuzi Kesi Na 27 ya 2021 ambayo tumewashitaki (Mwanasheria Mkuu, IGP, RPC Kanda Maalum DSM, RPC-Ilala, na OCD-Ilala, imeendelea chini ya Jaji JOHN MGETTA ambapo Mahakama imetoa maamuzi ya pingamizi lililowekwa na serikali.

Mahakama chini ya Jaji MGETTA imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na serikali.

Shauri litatajwa tena mbele ya jopo la majaji watatu tarehe 7 Februari 2022 Saa 8:00 Mchana, Mahakama Kuu Dar Es Salaam, kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuwasilisha hoja za msingi za namna Jeshi la Polisi (@tanpol) lilivyokiuka Katiba na sheria za nchi.
Hivi serikali inaweza pingamizi kwa faida ya nani.... CCM? Kuna mapingamizi mengi serikali imekuwa ikiyaweka ambayo yako very questionable.
 
Kuna kesi iliyopinga wakurugenzi (makada wa ccm)kusimamia uchaguzi,walalamikaji walishinda,na mahakama ilipiga marufuku wakurugenzi hao kusimamia uchaguzi,ccm wakasema "wakurugenzi lazima watasimamia uchaguzi,japo ni makada wa ccm" mahakama ikaufyata,wapinzani wakaufyata! Mchungaji mtikila alishinda kesi ya kikatiba iliyodai kuwe na wagombea binafsi! Mahakama ikasema ni ruhusa mtu kugombea bila ulazima wa kudhaminiwa na chama,ccm wakasema "hakuna hiyo" mahakama ikaufyata,wapinzani wakaufyata!! Tutarajie nini kwenye hili? Kuufyata!!
 
Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam, jana 20/02/2022 imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na Jamhuri dhidi ya Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na Baraza la Wadhamini la NCCR-Mageuzi linalopinga kitendo cha jeshi la Polisi kuzuia kufanyika kwa mikutano ya vyama vya Siasa nchini.

===

NCCR-MAGEUZI: Tunapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa, Mahakama Kuu Dar es Salaam, Kesi iliyofunguliwa na Chama chetu cha NCCR-Mageuzi Kesi Na 27 ya 2021 ambayo tumewashitaki (Mwanasheria Mkuu, IGP, RPC Kanda Maalum DSM, RPC-Ilala, na OCD-Ilala, imeendelea chini ya Jaji JOHN MGETTA ambapo Mahakama imetoa maamuzi ya pingamizi lililowekwa na serikali.

Mahakama chini ya Jaji MGETTA imetupilia mbali pingamizi la awali lililowekwa na serikali.

Shauri litatajwa tena mbele ya jopo la majaji watatu tarehe 7 Februari 2022 Saa 8:00 Mchana, Mahakama Kuu Dar Es Salaam, kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuwasilisha hoja za msingi za namna Jeshi la Polisi (@tanpol) lilivyokiuka Katiba na sheria za nchi.
Hongera JAJI hongera NCCR MAGEUZI
 
2025 hakuna uchaguzi mama hana mpinzani kwani kama mlishindwa nyuma kipindi CCM imegawanyika,hii ya sasa hamuiwezi kwani wenyemagamba wameungana na upinzani unatofautiana na hawaaminiani daily. Sasa hivi Mbatia,Zito, Lipumba tunao na nyie mmebaki na katibu tu ambaye ni toothless and useless kwenu.
Na kweli uchaguzi hakuna kwa kuwa CCM sanduku lao la kura ni TISS na Polisi, sanduku la kura halisi CCM ni mapema tu asubuhi hawapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom