Niko hapa NBC corporate kudeposit fedha kuna foleni kubwa na kuna caunter zaidi ya 7 lakini teller ni mmoja tu,tumejaribu kuulizia tatizo ni nini wanasema wengine wanaumwa,huu ni uzembe wa hali ya juu tumepanga foleni hapa zaidi ya masaa mawili kwa mtindo huu sisi watz tutabaki kuwa masikini wa wakuomba misaada tu kama mpaka usimamizi tu tunashindwa.