nbc.....
Kuna jamaa yangu wiki iliyopita alikuwa analia wamekomba 1m kwenye akaunti yake
thanx my dear @RR! ila sipo hata kwenye hicho kitengo, I HATE KAZI ZA BANK nimejaribu tu kumsaidia mwenzetu kama anataka a better service!
kuna bank special zinadeal na corporate tu! mfano FBME BANK LTD! wanafungua tawi na head offices zao zitahamia kinondoni hapo karibu na ubalozi wa india! ila kwa sasa nendeni hamieni tawi lao kubwa la samora, pembeni ya azania bank, mimi boss wangu amefungua hapo! we dont regreat! tena tukitaka huduma ya haraka wanafanya cash collection na wanakufuata ulipo! ni expert wa CORPORATE! jaribu uone, nways pole sana!
pole sana mkuu,wenzako tunaweka pesa kwenye vibubu!
Umeandikaje thread hii ukiwa kwenye foleni? Au ulienda juzi ndo unaleta uzi leo
Mafuru ana taarifa na huo uzembe?
Benki mfuu Hii nikuhamisha tu hizo hela kwenda benki zingine,kuna mtu kaniuma sikio eti Ndio mwisho wake ......nbc.....
Kuna jamaa yangu wiki iliyopita alikuwa analia wamekomba 1m kwenye akaunti yake
Si utani FBME ni wazuri kila idara hata hapa zenji huduma zao zinatufanya tuwe meno gaucho saa zote!unapigia debe FBMB!! au wewe ni teller au secretary wa CEO??