This is it. I'm through with y'all.
You are a pathetic piece of junk masquerading as a caring, customer-centric financial services provider.
I mean, you don't even have the decency to get back to your customers' inquiries!
Does it cost a fortune to get back to someone you've promised you would?
If your vision is to be the 'Go-To' bank, guess what, you are doing a damn good job at being the 'Don't-Go-To' bank.
Do you even realize that we now have various and sundry options to chose from?
If you do, you sure don't act like it.
Oh well....you've just lost a customer and hopefully you will lose a whole lot more.
CRDB where ya at? Here comes a prospective customer.......
Mkuu wache nikujuze-Kwa elimu yangu ya Kata hainipi nafasi ni tiririke ung'eng'e kama ulivyoshusha mistari.
Swali moja je-wewe mtanzania?-Kama jibu ni ndiyo twende taratibu kidogo na utakuja kugundua malalamiko yako ndani ya hiki.
Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.
Baada ya kuona hilo ni vizuri twende mbele kidogo tena.
Raia Mwema - NBC: Ilikuwa na bilioni 150, ikauzwa kwa ...
WAKATI Benki ya NBC ikiuzwa kwa wawekezaji wa Afrika Kusini mwaka 2000, kwa thamani ya shilingi bilioni 16, yenyewe ilikuwa na kiasi cha shilingi bilioni 151 taslimu katika akaunti zake mbalimbali duniani, Raia Mwema limebaini. - See more at: Raia Mwema - NBC: Ilikuwa na bilioni 150, ikauzwa kwa bilioni 16
Hitimisho na kabla ya hapo nampa hongera Mhe. Zitto nimemsikia Clouds FM leo kuwa PAC imeomba CAG alipitie jambo hili pamoja na mambo mengine nini hasa kilitokea kwa Uuzwaji wa NBC wakati huo na hali yake sasa.
Hivyo basi suala la huduma mbovu kwa sasa linalengo mahususi la kukimbisa wateja ili lengo la ABSA Group ya South Africa litimie hapo March 2015- na kama Bunge halitachukua hatua mapema-dili la kumalizia Benki hii kwa makaburi linafikia Kikomo kabla JK hajaondoka Madarakani na kiufupi EPA nyingine ya kuwawezesha CCM kwa Uchaguzi wa 2015.
Muda utatupa jibu.
Last edited by a moderator: