Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 886
- 382
kuna waliowahi na zimewakaba mpaka leo. ACCA tatizo ni gharama na ninadhani CPA itatambulika zaidi kutoakana na paper kuongezeka.Alafu nilivyoenda bodi waliniambia na ada zimebadilika hadi regustration fee na July ndio watatoa.. Ina maada hata malipo yamepanda.. Najuuta kuchelewa kufanya pepa.