Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
CPA ni process,sio action!mkuu usikate tamaa,ipo siku utaikamata tuu!
Kaza n'nya dogo unafikiri maisha urojo! Google hata CPA ya marekani uone habari yake! Gangamala otherwise maisha nayo yakikupiga sijui utamlilia mkeo! Kuna madogo ndani ya mwaka wanalamba CPA sasa wao wachawi! Usipoijulia mitihani ya professional lazima uchonge ngenga kijana! Dogo langu limebakiza Contemporary Issues in Accounting alambe CPA wewe unalialia! Kaza n'nya hiyo wewe!!Ndugu watanzania na wahasibu wenzangu , napenda kuchukua nafasi hii adimu kwa kueleza kilio changu kuhusu hii bodi ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu Tanzania (NBAA).
kWA KWELI BODI HII IMEUNDWA SI KWA LENGO LA KUENDELEZA WAHASIBU BALI KUWADIDIMIZA NA KUWAKANDAMIZA KABISA WASIWE WENGI KATIKA NCHI HII.
Wewe embu fikiria, mtu anafanya mitihani ya Module F kwa miaka kumi (10) na hapati hiyo CPA. Unafikiria nini hapa ?
Mwengine anakuja kupata hiyo CPA amebakisha miaka mitano tu ili astaafu. Hivi hii CPA maana yake nini ? Hivi watu wanaisoma CPA ili waende kuitumia Duniani au kuitumia kaburini? Sasa iweje kuipata kwake iwe mbinde ?
Tangu NBAA ianzishwe mwaka 1972 walioipata hawavuki watu elfu nne(4,000) hii ni pamoja na walioipata na tayari wameshakufa. Hivi kusomea CPA na "udaktari wa upasuaji wa binadamu " ipi ni fani ngumu zaidi ? Iweje CPA kuipata inakuwa mbinde ?
Vyuo vyote nchini kwa mfano pale Mlimani ukiangalia idadi ya wanafunzi waliohitimu wakati chuo kinafunguliwa na mpaka sasa idadi ya wanafunzi waliohitimu imeongezeka na wamehitimu watu wengi zaidi, yaani maelfu kwa maelfu.
Lakini siyo kwa CPA ni miaka 50 sasa tangu tupate uhuru lakini walioipata hiyo CPA hawazidi elfu nne.
Nauliza hiivi, hii bodi imeundwa kwa ajili ya kuwaendeleza wahasibu au KUWAKANDAMIZA wahasibu ?
Ndugu watanzania na wahasibu wenzangu , napenda kuchukua nafasi hii adimu kwa kueleza kilio changu kuhusu hii bodi ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu Tanzania (NBAA).
kWA KWELI BODI HII IMEUNDWA SI KWA LENGO LA KUENDELEZA WAHASIBU BALI KUWADIDIMIZA NA KUWAKANDAMIZA KABISA WASIWE WENGI KATIKA NCHI HII.
Wewe embu fikiria, mtu anafanya mitihani ya Module F kwa miaka kumi (10) na hapati hiyo CPA. Unafikiria nini hapa ?
Mwengine anakuja kupata hiyo CPA amebakisha miaka mitano tu ili astaafu. Hivi hii CPA maana yake nini ? Hivi watu wanaisoma CPA ili waende kuitumia Duniani au kuitumia kaburini? Sasa iweje kuipata kwake iwe mbinde ?
Tangu NBAA ianzishwe mwaka 1972 walioipata hawavuki watu elfu nne(4,000) hii ni pamoja na walioipata na tayari wameshakufa. Hivi kusomea CPA na "udaktari wa upasuaji wa binadamu " ipi ni fani ngumu zaidi ? Iweje CPA kuipata inakuwa mbinde ?
Vyuo vyote nchini kwa mfano pale Mlimani ukiangalia idadi ya wanafunzi waliohitimu wakati chuo kinafunguliwa na mpaka sasa idadi ya wanafunzi waliohitimu imeongezeka na wamehitimu watu wengi zaidi, yaani maelfu kwa maelfu.
Lakini siyo kwa CPA ni miaka 50 sasa tangu tupate uhuru lakini walioipata hiyo CPA hawazidi elfu nne.
Nauliza hiivi, hii bodi imeundwa kwa ajili ya kuwaendeleza wahasibu au KUWAKANDAMIZA wahasibu ?
ushindwe na ulegee
CPA huwezi kupata kama
- unasoma kwa kukariri
- ulifauli chuo kiujanja ujanja k.v kudesa
- mvivu wa kusoma vitabu
- unapania mtihani. unajifanya uko bize na CPA. umeacha kujirusha, hutaki kuangalia mpira, eti na pombe unaacha! n.k
- maktaba unapaona kama kituo cha polisi
After all ulilazimishwa kusoma uhasibu? kwa nini usingesoma sanaa au linguistic?
teh teh, duuuu, lakini tatizo la mitihani ya CPA,nadhani ni muda wa maandalizi ndio watu hawana.... otherwise wengine wanakurupukia mamboooo. Histolia inaonesha watu wengi walikuwa wanasoma masomo ya biashara walikuwa hawalipendi somo la hisabati, sasa ukienda kwenye hiyo degree za biashara lazima uzijue hizo hisabati vizuri, ni balaa kwako kwani utalazimika kutumia nguvu sana kuoma, tena kwenye CPA ndio kabisa hesabu lazima, sas huyu mtu asiyekuwa na msingi mzuri wa hesabu atafaulu vipi? utafiti kuna watu waliosoma engineering wakifanya CPA wanafanya kwa muda mfupi sana, ingawa wanafanya mitihani mingi zaidi....kabla ya kulalamika jiangalie uko kundi lipi?
CPA sio lelemama, inahitaji m2 uelewe na sio kukariri. Vyuon unafaulu kwa kudesa, chabo n.k. Nbaa hivyo vipo hakuna. Yahitaji kuelewa zaid. Kaza buti utatoka tu. UDSM kuna Dr. Alikuwa anatufundisha accounting, Alipata Phd yake uganda, mpaka tunamaliza chuo hana CPA, Kila akikanyaga wanakula kichwa. Mbaya zaid dr, mwenzake (DR. ASSAD) head of account dept ndie chairman wa NBAA.
mkuu umenikumbusha mbaaaali sana. nitaiweka hii post kwenye maktaba yangu. Sizitaki mbichi hizi darasa la tatu! Naomba uni pm na Karudi Baba Mmoja toka Safari ya Mbali!SIZITAKI MBICHI HIZI
Hadithi inayokuja, ni ya Sungura sikia,
Hadithi uliyongoja, leo ninakuletea,
Alitoka siku moja, njaa aliposikia,
Njaa aliposikia, Sungura nakuambia
Siku ile akaenda, Porini kutembelea,
Akayaona matunda, mtini yameenea,
Sungura akayapenda, mtini akasogea,
Mtini akasogea, Sungura nakuambia.
Sungura karukaruka, lakini hakufikia,
Matunda hakuyashika, mikononi hakutia,
Hakika alisumbuka, nguvuze zikapungua,
Nguvuze zikapungua Sungura nakuambia.
Mtazame hapo juu Sungura amelegea,
Mtazame na miguu, matunda anarukia,
Atafanya sikukuu, matunda akifikia,
Matunda akifikia, Sungura nakuambia.
Karuka tena karuka, matunda akarukia,
Mwisho Wave akachoka, kachoka hata mk-Ia,
Penye mti akatoka, pembeni akasogea,
Pembeni akasogea, Subgura nakuambia.
Sizitaki mbichi hizi Sungura akagumia,
Naona nafanya kazi, bila faida kujua,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.
Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.
Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.
mkuu umenikumbusha mbali sana, kipindi nipo ATECII kuna jamaa alikuwa mkali sana wa accounts akawa anatufundisha sisi tuilotoka PCB apo alikuwa kakamatwa ilo somo kama mara 4 hivi na akitoa presentation sote tunamkubali lakini paper ikifika tuu anakamatwa yan sisi tulikuwa tunashangaa sana. mpaka tumefika module D ndo jamaa anakamilisha ilo somo la accounts ATECII.
SO SIJUI KUNA NINI APO. SABABU JAMAA ALIKUWA KICHWA BALAA CHA ACCOUNTS.
Huyu ni Masudi?i maana nami nafahamu DR Assad ndio alikuwa Msimamizi wake kwa ajili ya PHDCPA sio lelemama, inahitaji m2 uelewe na sio kukariri. Vyuon unafaulu kwa kudesa, chabo n.k. Nbaa hivyo vipo hakuna. Yahitaji kuelewa zaid. Kaza buti utatoka tu. UDSM kuna Dr. Alikuwa anatufundisha accounting, Alipata Phd yake uganda, mpaka tunamaliza chuo hana CPA, Kila akikanyaga wanakula kichwa. Mbaya zaid dr, mwenzake (DR. ASSAD) head of account dept ndie chairman wa NBAA.
kwani hizo cpa zina msaada wowote kwenye kupata kazi au kupata maisha mazuri.
kama basic university degree imeshindwa kukusaidia hata upate phd 10 na masterz zote. hautatoka kimaisha
kama CPA (T) imekushinda,usijaribu ACCA,kule ni next level,na ukiingia dunia yeyote wanakutambua!Jaribu ACCA kama CPA imekataa ili tujua ni NBAA wenye shida au ni ubongo wako umejaa kamasi
Masters?..hiyo vijanawanasoma mzumbe...wamenyoa kiduku,suruali iko chini ya takoalafu ana ndoto za kuwa executive ?CPA ina mashiko kuliko iyo masters kwa waasibu!Niombe radhi haraka , hatupo hapa kwa ajili ya kutukanana. Haiwezekani mimi na Masters yangu uniambie hivyo. Embu niombe radhi haraka !
kama CPA (T) imekushinda,usijaribu ACCA,kule ni next level,na ukiingia dunia yeyote wanakutambua!