Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,046
- 5,092
kwani hizo cpa zina msaada wowote kwenye kupata kazi au kupata maisha mazuri.
kama basic university degree imeshindwa kukusaidia hata upate phd 10 na masterz zote. hautatoka kimaisha
Usijidanganye