Nawezeje kumpata mume mwema kibiblia?

elyza

Senior Member
Oct 9, 2016
155
326
Wakuu habari za weekend?

Upweke unachosha kwakweli natamani kupata mume lakini kwa kufuata kanuni za biblia. Mwenye uzoefu au mbobezi please naomba msaada.

Maisha ya upweke yamenichosha sana. Wanaume wengi tu wananifuata lakini niwale ambao wanadhani kwa sababu ya nafasi zao kifedha wanaweza nipata.

Kifupi nahitaji mume ambaye siwezi kujutia kuwa naye, yule ambaye Mungu amenipangia.

Wadau najua hapa kuna wengi wenye ndoa zao plz nipeni uzoefu.
 
Tatizo siku hizi wanaume waliopo makanisani ndiyo wanaoongoza kwa utapeli wa mapenzi.

Watataka wachovye chovye kwanza kama stick ya kupimia engine oil.

Wachaguzi kama wanawake wa uswazi wachaguavyo Nazi gengeni.

So usijifunge na biblia.
 
Wakuu hbr za weekend?
Upweke unachosha kwakweli natamani kupata mume lkn kwa kufuata kanuni za biblia.

Mwenye uzoefu au mbobezi plz naomba msaada.
Maisha ya upweke yamenichosha sana.
Wanaume wengi tu wananifuata lkn niwale ambao wanadhani kwa sababu ya nafasi zao kifedha wanaweza nipata.

Kifupi nahitaji mume ambaye siwezi kujutia kuwa naye,yule ambaye Mungu amenipangia.

Wadau najua hapa kuna wengi wenye ndoa zao plz nipeni uzoefu.
Nenda kamuulize Gwajima au mzee wa bapa kubwa
 
Wakuu hbr za weekend?
Upweke unachosha kwakweli natamani kupata mume lkn kwa kufuata kanuni za biblia.

Mwenye uzoefu au mbobezi plz naomba msaada.
Maisha ya upweke yamenichosha sana.
Wanaume wengi tu wananifuata lkn niwale ambao wanadhani kwa sababu ya nafasi zao kifedha wanaweza nipata.

Kifupi nahitaji mume ambaye siwezi kujutia kuwa naye,yule ambaye Mungu amenipangia.

Wadau najua hapa kuna wengi wenye ndoa zao plz nipeni uzoefu.

Una uhakika Mungu ana ID hapa JF?
 
Kwanza acha kuwa selective sana,
pili, usiangalie pesa kama wanavyofanya wengine,
uwe na upendo wa kweli
uwe mshauri mzuri kwa mwenzako
usijali umasikini wa mtu Bali jali upendo wake kwako
 
Mkubali mwanaume atakaye ku propose halafu mwombee Kwa Mungu awe Mr. Right ....ni very simple
 
Tembelea zile sehemu ambazo unazipenda sana... Ili ukutane na watu wenye intrest kama zako...
 
I Knew How To Love Women But I Realised That Love Is not What They Need - Women Are Not Ready To Wait And Create Their Own Hubby's Destiny. They Always Fall A Prey To Mr Ready-Made!
- Nilimpenda Mdada Wa Kanisani Na Nikawa Tayari Kusubiri, Nikashangaa Ashapachikwa Mimba Na Wajanja
- Nikampenda Mdada Mwingine Muda Huo Naenda Chuo, Cha Kushangaza Mangi Wa Duka Alijichukulia Kiulaini, Kapiga Mimba Na Kumpeleka Kwao Moshi ( Huyu Demu Sitamsahau, Alikuwa Anavmwa Mpaka Anazimia Nakopa Fedha Kazini Kumtibu, Lakini Ndo Hivyo )
- Nilichojifunza Ni Kwamba Wadada Wanapenda Sana " Money, Upekee & Fame, Mwanaume Hata Kama Ana Mademu 20O Na Mdada Fulani Anajua, Anamtaka Hivyo Hivyo.

- Usisikilize Sana Wadada Wanachosema, Mara Nyingi Sicho Wanachotaka Labda Kama Huyo Mdada Tayari Kashazalishwa Mtoto Ndo Akili Huwa Zinawarudia
 
usiache kumuomba Mungu akufunulie mume unaemtaka ila huyo unaemtaka ni ngumu sana labda Yesu arudi
 
Wakuu hbr za weekend?
Upweke unachosha kwakweli natamani kupata mume lkn kwa kufuata kanuni za biblia.

Mwenye uzoefu au mbobezi plz naomba msaada.
Maisha ya upweke yamenichosha sana.
Wanaume wengi tu wananifuata lkn niwale ambao wanadhani kwa sababu ya nafasi zao kifedha wanaweza nipata.

Kifupi nahitaji mume ambaye siwezi kujutia kuwa naye,yule ambaye Mungu amenipangia.

Wadau najua hapa kuna wengi wenye ndoa zao plz nipeni uzoefu.

Sasa si ukasome hiyo Bible halafu ufuate formula iliyowekwa humo kama ipo. Unauliza jinsi ya kuimba table ya pili ya hesabu wakati daftari lenye cover ya nyuma yenye mathematical table umelishika na unaziona mathematical tables.
 
Ni rahisi tu. Na wewe uwe mke mwema kibiblia. Siyo kila siku kulazwa kwenye ma-lodge na wanaume then unataka wewe mume mwema ki-bible.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom