Asante mkuuJiunge faster na UVCCM! Hakika utanikumbuka kwa kuwa usalama wa Taifa kirahisi tu.
Au mtafute huyu jamaa Don Nalimison! Ni usalama wa Taifa mbobezi!!
Tafuta mshati wa kijani na lile kofia la kijani alafu uwe unavaa kila siku apo automatiki utakuwa ushakuwa usalama wa taifa
Nina shida ya kupata kioo Cha LaptopUuzaji, utumiaji, utengenezaji (repair), COMPUTERS
🤣 🤣Jukumu la Ulinzi ni kila MTANZANIA hata hapo ulipo wewe ni USALAMA WA TAIFA
Usikute muanzisha mada ni TEETH sema anataka kukamata wavujisha siri.Narudia tena kusema ‘MFICHA MARADHI, KIFO HUMUUMBUA’
Habari za muda huu ndugu zangu, waungwana wenzangu. BIla shaka afya zenu ni njema na mnaendelea vema kabisa na majukumu ya kulijenga taifa letu la Tanzania.
HONGERENI SANA
Kauli hii ina maana kubwa sana, kama utakaa na kuitafakari utagundua ukweli wake. Kwani kama una dukuduku ambalo limekukwaza ama linakuumiza katika moyo ni vema ukalisema kwa wahusika ili huenda ukapata msaada ama ushauri juu ya jambo lako. Kwani ukiendelea kunyamaza unaweza kuathirika na hatimaye kupoteza Maisha na baada ya kufa kwako watu wakagundua tatizo lililokuuwa na watu kukulaumu (marehemu) huenda ungesema usingekufa.
- Waswahili walisema “Mficha maradhi, mauti humuumbua”
AMA BAADA YA UTANGULIZI
Lengo la kuandika uzi huu wa heshima, napenda kuelezea dukuduku langu kwa umma huenda siku moja uzi huu ukasomwa na ambaye anaweza kulitatua tatizo langu na kupata ufumbuzi.
Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa kila mtu katka Maisha yake huwa ana ndoto na kutamani awe mtu Fulani ama kufanya kazi Fulani, lakini mara nyingi ndoto hizo huishia kuwa ndoto tu na si halisi.
Natumia fursa hii nami kuelezea ndoto zangu ambazo nilikuwa, ninazo na nitakuwa nazo mpaka mwisho wa umri wangu.
Mimi nilitamani sana kufanya kazi katika idara ya USALAMA WA TAIFA
Ndio namaanisha usalama wa Taifa langu la Tanzania katika sekta yoyote ambayo wao watanipangia. Uzalendo ndicho hasa kilinifanya nipende kuwa katika kulitumikia na kulilinda Taifa langu kikamilifu.
Sikufanya jitihada zozote kwani sijui wapi naweza kupata suluhisho la hitaji langu, wala sikuwa / sina mtu ambaye ana uwezo wa kunifanikishia suala langu hili pendwa.
Leo nimeona niliweke wazi katika mtandao huu nambari moja hapa Tanzani najua baadhi ya wadau watakuwemo humu. Huenda wakanisaidia.
Najua baadhi yao watanibeza na kuongea maneno yasio na nidhamu, lakini hili kwangu nachukulia kama changamoto nyingine tu za kimaisha.
Naipenda TANZANIA, Nawapenda Watanzania,
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kwa maswali Zaidi unaweza kuja PM
Narudia tena kusema ‘MFICHA MARADHI, KIFO HUMUUMBUA’
Habari za muda huu ndugu zangu, waungwana wenzangu. BIla shaka afya zenu ni njema na mnaendelea vema kabisa na majukumu ya kulijenga taifa letu la Tanzania.
HONGERENI SANA
Kauli hii ina maana kubwa sana, kama utakaa na kuitafakari utagundua ukweli wake. Kwani kama una dukuduku ambalo limekukwaza ama linakuumiza katika moyo ni vema ukalisema kwa wahusika ili huenda ukapata msaada ama ushauri juu ya jambo lako. Kwani ukiendelea kunyamaza unaweza kuathirika na hatimaye kupoteza Maisha na baada ya kufa kwako watu wakagundua tatizo lililokuuwa na watu kukulaumu (marehemu) huenda ungesema usingekufa.
- Waswahili walisema “Mficha maradhi, mauti humuumbua”
AMA BAADA YA UTANGULIZI
Lengo la kuandika uzi huu wa heshima, napenda kuelezea dukuduku langu kwa umma huenda siku moja uzi huu ukasomwa na ambaye anaweza kulitatua tatizo langu na kupata ufumbuzi.
Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa kila mtu katka Maisha yake huwa ana ndoto na kutamani awe mtu Fulani ama kufanya kazi Fulani, lakini mara nyingi ndoto hizo huishia kuwa ndoto tu na si halisi.
Natumia fursa hii nami kuelezea ndoto zangu ambazo nilikuwa, ninazo na nitakuwa nazo mpaka mwisho wa umri wangu.
Mimi nilitamani sana kufanya kazi katika idara ya USALAMA WA TAIFA
Ndio namaanisha usalama wa Taifa langu la Tanzania katika sekta yoyote ambayo wao watanipangia. Uzalendo ndicho hasa kilinifanya nipende kuwa katika kulitumikia na kulilinda Taifa langu kikamilifu.
Sikufanya jitihada zozote kwani sijui wapi naweza kupata suluhisho la hitaji langu, wala sikuwa / sina mtu ambaye ana uwezo wa kunifanikishia suala langu hili pendwa.
Leo nimeona niliweke wazi katika mtandao huu nambari moja hapa Tanzani najua baadhi ya wadau watakuwemo humu. Huenda wakanisaidia.
Najua baadhi yao watanibeza na kuongea maneno yasio na nidhamu, lakini hili kwangu nachukulia kama changamoto nyingine tu za kimaisha.
Naipenda TANZANIA, Nawapenda Watanzania,
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kwa maswali Zaidi unaweza kuja PM