Nawezaje kusikiliza nyimbo kupitia Alexa Amazon?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Sep 11, 2010
4,271
2,401
Habari wadau. Kwa wanaojua hii device inayoitwa Alexa ni kama ilivyo siri kwenye iphone. Tofauti ni kwamba alexa ni independent device, haiko ndani ya simu. Ni kama kaspika fulani hivi, ambapo uninstall app yake kwenye simu yako na kuunganisha kisha mnaanza kuongea na alexa kwa ishu yoyote.

Pia kazi nyingine ya alexa ni kufanya kazi za nyumbani/ofisini katika mfumo wa remote control, mfano kuwasha taa, feni, alarm, redio, tv, na hata kupiga nae stori. Yote hii ni katika mfumo wa kuongea nae. Sasa kwa ishu ya nyimbo huwa anasema nyimbo zipo amazon na pia siwezi kuziaccess. Kwa wanaomjua alexa nawezaje kuplay nyimbo?
 
By default Alexa anatumia Amazon Music ambayo haipo huku bongo. Unatakiwa ku link Alexa na Apple Music , Spotify or Deezer hzi ndio music streaming app zilizokuwa supported bongo. Link na moja wapo ya hzo ndio utaweza kuplay nyimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwa ishu ya nyimbo huwa anasema nyimbo zipo amazon na pia siwezi kuziaccess

amazon streaming service ni region-locked, waweza access may be ukiwa na VPN, na ukibadili account settings kua either UK au US

mimi wameniwekea Spotify, ambayo siwezi access sababu ya location ,

Napata TuneIn, kwa local radios chache
 
Back
Top Bottom