chollemadulu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 257
- 78
Salama wana JF weekend iwe nzuri kwenu mimi naitaji kujui njia gani ninaweza kutumia ili nipate zile namba ambazo nilikuaga nawasiliana nazo zamani mwenye kujua jamani anisaidie maana kunamawasiliano nimepoteza sasa labda naweza kuyapata kwa sitaili hiyo ni, hayo tu.