Nawezaje kupata watoto mapacha?

Hi guys,
Nawezaje kupata watoto mapacha?, ikiwa kuna mtu ana uelewa juu ya jambo hili naomba kufahamishwa tafadhali.

Najua humu jukwaani kuna ma great thinkers wa kutosha.

Naomba kuwasilisha.
Kuna mikao wakati wa kungonoka, kuna mkao wa kutafuta mtoto wa kike, wa kiume na mapacha...Natoa darasa kuhusu hizo makitu na unalipia.
 
Alhamdulillah Mimi mwanamke wangu wa kwanza nilizaa nae watoto mapacha kike na kiume but walifariki walikuwa njiti ila baadae tukapata mmoja yupo mpaka sasa na mwanamke wa pili nimezaa nae pia mapacha kiume na kike wapo mpaka sasa

Asili yetu mwanamke akiwa mjamzito na ikatokea akapewa vitu vilivyoshikana viwili kwa pamoja kama ndizi au karoti huwa wanazaa mapacha maana hao wote wanawake zangu ilitokea hivyo kipindi cha ujauzito sasa sijui ni hali ya ukoo au ni bahati tu sijui
 
Pacha Raha kama hutaki kubeba mimba mara nyingi, ila nilisikia mwanamke akila sana magimbi huleta pacha, sisi bibi alizaa pacha nne ila watoto wake hamna hata Mmoja mwenye pacha, ila wajukuu ni Mmoja TU ndo kabahatika Hadi sasa
 
Pacha Raha kama hutaki kubeba mimba mara nyingi, ila nilisikia mwanamke akila sana magimbi huleta pacha, sisi bibi alizaa pacha nne ila watoto wake hamna hata Mmoja mwenye pacha, ila wajukuu ni Mmoja TU ndo kabahatika Hadi sasa
Mitano tena kwa Bibi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…