Nawezaje kupata wafadhili katika shule yangu?

Nawezaje kupata wafadhili katika shule yangu?

Sasa
Kama spiritually umekufa ruksa mkuu,sasa tutakusaidiaje,si unataka mafanikio ya corner corner?Infact wanasema ukishakuwa Freemason,si kwamba utafadhiliwa tu,ila na wewe utakuwa mfadhili!Hii ina maana gani,kwamba wafadhili wote ni Freemasons?It seems so.
mkuu huko SI Kuna kafara za damu, kwa hiyo dini yangu natakiwa niache au?
 
Aisee kama unamawazo mpaka na Freemason usije ukathubutu kutoa identity yako ata iwe Pm
 
nilikutumia pm mku uliiona?
Iwapo utahitaji ushauri zaidi nitafute.
Nakupongeza kwa uthubutu.
Tunahitajika sasa sisi kama vijana kubadili mtazamo ktk ajira.
Tahadhari ninayokupa ni kuwa,kadri unavyojaribu kujikomboa kiuchumi ndivyo unavyoiongezea kazi akili yako ktk kutathmini yanayokuijia.
Ktk hili ongezea haya
~Wazo ni lako wengine tunashauri~
_Usiruhusu malipizi kwa lolote litakalokutokea,litumie kwa kujipa muda kulitafakari kulipatia ufumbuzi._
_Kuwa sikivu na mnyenyekevu huku ukifanya kazi kwa bidii.Heshimu watu wa rika zote kwa kuwa wafadhili wapo Kila mahalim
 
n
Kama sio mtaalamu wa kuandika andiko (Proposal) tafuta mtaalamu akuandikie saafi halafu u gugo kuangalia taasisi za ndani na nje ya nchi wanaotoa ufadhili
asshukuru dada kwa hilo
 
wakuu tusaidiane kwa hili tukunjue moyo tafadhali.
mwenye maoni, ushauri, msaada wowote au mchango anakaribishwa
 
Mkuu sijazungumzia habar ya mkopo,
Nazungumzia wafadhili,
Mkopo Ni inshu nyingine
Hiyo shule yako iko chini ya NGO yaani shirika lisilo la kiserikali au ni yako binafsi umeanzisha kupatia kipato hapo? Kama ni yako binafsi wafadhili kuwapata ni shughuli pevu.Ndio maana nikakushauri uchukue mkopo .Kwa shule private njia nyingine ni kutafuta wabia wa kushirikiana kuendesha kwa kuwapa hisa ambapo wao watawekeza mfano majengo nk halafu mapato mnagawana .Usikomae kuendesha peke yako wakati uwezo unagoma itakufia mikononi utageuza madarasa mabanda ya kufugia kuku
 
Back
Top Bottom