bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
Wakuu naomba msaada hapa tafadhali, nimeanzisha shule ya chekechea, na tayari imeshasajiliwa huku ikiwa na wanafunzi 40,
Sasa malengo Ni kuikuza shule kwa kuongeza wingi WA Madarasa, walimu na ofisi za walimu pamoja na vifaa vyote muhimu vinavyotakiwa katika maswala yote yahusuyo shule.
Sasa naomba kujua naweza pata wap au nitumie njia gani kupata wafadhili?
Shukrani
Sasa malengo Ni kuikuza shule kwa kuongeza wingi WA Madarasa, walimu na ofisi za walimu pamoja na vifaa vyote muhimu vinavyotakiwa katika maswala yote yahusuyo shule.
Sasa naomba kujua naweza pata wap au nitumie njia gani kupata wafadhili?
Shukrani