Sikukatishi tamaa Ila kwa mazingira ya Sasa huwezi pata zote mkuuNSSF watajuaje kama kazi niliyokuwa nafanya labda nilisubmit chet cha chuo labda nikisema cjaenda chuo na pale niliingia kwa chet cha form six tu kwa connection hapo vip pesa itatoka na nikiwa na evidence kutoka kwa HR nisaidieni nduguyangu hii kwangu iko serious sana nina biashara sina mtaji na ela ndio ipo huko nssf