kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Kwani mkuu ile hela wakati inakatwa hauukuambiwa kwamba utapewa uzeeni? Na infact sio yako tu, mwajiri pia alikuwekea ikusaidia uzeeni wewe ndo unataka upewe saivi
Sasa ya mwajir ulitaka iwe mali ya mwajiri hii sheria imebadilika hapa mwaka jana tu kama ulikuwa ufahamu haya mafao yaligawanyika kuna watu wanafanya kaz na mikataba inaisha au anaachiashwa kazi sheria ya mwanzo ilikuwa inamruhusu huyu mnufaika kuchukua pesa yake yote cjui umeelewa hapo walivyoleta 33℅ wakatoa hicho kipengele ni vyema ungekuwa umeelewa kwanza mambo haya ndipo uje kuchangia hapa hata wewe ingekusaidiaKwani mkuu ile hela wakati inakatwa hauukuambiwa kwamba utapewa uzeeni? Na infact sio yako tu, mwajiri pia alikuwekea ikusaidia uzeeni wewe ndo unataka upewe saivi
Inawezekana michango haikukamilika mkuu inabidi kufuatilia.Sasa kuna watu nilikuwa nafanyanao kaz hapa na waliachishwa kaz walivyoenda wameshindwa kupewa yote wanachukua kwa awamu hapo shida nin??
NSSF ili ulipwe inatakiwa uambatanishe barua yako ya kuisha kwa mkataba au kusitisha mkataba hapo ndio wanaanzia kuanza kufanya mchakato wa malipo kama umefukuzwa kazi ujue huna chako.Wakuu labda namimi niunge hapa mtanipa ushauri,
Mimi nilifanya kazi mahali fulan km professional ila baadae mkataba ukaisha nikaenda kufanya kazi sehem nyingine bila mkataba just kibarua sababu hata malipo ilikuwa ni cash tu sio bank.
Sasa imepita miaka miwili tangu niache kule pa mwanzo je naweza kupewa hela zangu zote nssf?
Huwezi kupata mpaka hiyo miezi 18,ungekuwa uliajiriwa kama UNSKILLED (KIBARUA)ungepata, lakini kwa kuwa ni graduate NSSF wanaamini utapata kazi nyingine na kuendelea kuchangia hivyo HAWAKUPI
Sasa mkuu utafukuzwa kazi bila mkataba kusitishwa?NSSF ili ulipwe inatakiwa uambatanishe barua yako ya kuisha kwa mkataba au kusitisha mkataba hapo ndio wanaanzia kuanza kufanya mchakato wa malipo kama umefukuzwa kazi ujue huna chako.
Dah kweli dunia hii ina watu tofauti kufukuzwa kazi either umeshiriki mgomo kazini au umeiba hapo barua huwezi pewa ukipewa barua ya kusitisha mkataba inamaana umeondoka kwa amani otherwise huambulii kitu.Sasa mkuu utafukuzwa kazi bila mkataba kusitishwa?
Ikitokea kazi uliyokuwa unafanya ni ya kitaaluma, hata ulie unagala gala chini hutapata pesa zako, zaidi ya 33% ya Mshahara wako kwa miezi 6.Before nilishafanya kaz kwenye campuni nyingne kama cashier tu na kuingia pale hakukutakiwa uwe na chet cha chuo nilipoacha hapo ndipo nikaingia huku sasa pesa zote ziliingia kwenye account moja
NSSF hawaangalii kazi uliyokuwa unafanya wakati unaachishwa:Hebu ngoja kidogo, kwahiyo nikiacha udaktari nikaenda kwenye ulinzi wanajumlisha makato ya nssf pamoja..?...😋😋😋
Kufukuzwa na kuachishwa tofauti iko wap??lazima waajili wakupe termination later au barua ya kuisha kwa mkataba wako zote nssf wanapokea na unalipwa ondoa hofu ishu sasa kupata mpunga wote kama wewe graduate hapo ndio shidaNSSF ili ulipwe inatakiwa uambatanishe barua yako ya kuisha kwa mkataba au kusitisha mkataba hapo ndio wanaanzia kuanza kufanya mchakato wa malipo kama umefukuzwa kazi ujue huna chako.
Sasa hapo kwenye kufukuzwa kazi ndio pananihusu boss cwez pata yote??Ikitokea kazi uliyokuwa unafanya ni ya kitaaluma, hata ulie unagala gala chini hutapata pesa zako, zaidi ya 33% ya Mshahara wako kwa miezi 6.
Fao la kujitoa lipo maalum kwa wafanyakazi wasio wa kitaaluma, na walio achishwa kazi.
Sheria ndivyo zilizo, na haziwezi kubadilika leo au kesho.
Ni utafute namna ya ku-deal nazo wakati unataka pesa zako.
Hapo nimekupata mkuu wa kaz, sasa nisaidie kaz ya customer care hyo inaweza kuwa skilled maana hakuna bachelor hyo hapo imekaaje mkuuNSSF hawaangalii kazi uliyokuwa unafanya wakati unaachishwa:
Wanachoangalia ni:
- Kazi ni ya taaluma (skilled) au siyo TAALUMA( unskilled)
- Umeacha kazi mwenyewe au umeachishwa/kufukuzwa
- Una termination letter na letter of appreciation.
- Una barua ya kiapo kuwa ni kweli wakati huo huna kazi.
Muhimu wakati unafanya hiyo transition, hakikisha Account ya NSSF unayotumia ni hiyo hiyo.
Kazi ambazo havipo vyuoni ndio kazi zisizo za kitaaluma.Hapo nimekupata mkuu wa kaz, sasa nisaidie kaz ya customer care hyo inaweza kuwa skilled maana hakuna bachelor hyo hapo imekaaje mkuu
Sasa kama hupewi barua wanakuondoaje? Yani wanakuachisha kazi bila kutoa barua? We jamaa usijifanye unajua sana.Dah kweli dunia hii ina watu tofauti kufukuzwa kazi either umeshiriki mgomo kazini au umeiba hapo barua huwezi pewa ukipewa barua ya kusitisha mkataba inamaana umeondoka kwa amani otherwise huambulii kitu.
Hujaeleweshwa vizuri na hao NSSF.Habari,
Naomba ushauri kwa anayefahamu namna gani naweza kupata pesa zangu zote NSSF ipo kiasi ni chini ya mill 5 na kazi nimeachishwa hivyo ukifuata utaratibu wa kawaida unaambiwa kuna kikokotoo unapewa 33℅ ya gross sallary yako ndan ya miez sita kisha unasubir miez 18 ndio upate yote.
Sasa nahitaji niongeze kwenye mtaji wa biashara hyo pesa yote nifanyaje ili niweze kupata pesa yangu yote,?elimu yangu bachelor.
Asanteni nipo hapa napitia comment zenu wanajopo