nilizaa na mwanaume mmoja miaka mitano iliyopita tulizaa mtoto wa kiume ambaye alifanana na baayake sana, story yangu ni ndefu ila yule mwanaume aliniacha kwa matusi , na vituko kibao, ila aliendelea kumuhudumia mwanae kwa kunitumia hela pia aliendelea kunipigia sim za kumjulia mwanae hali ilifika wakat baada ya miaka miwili alitaka kuja kumuona mwanae nilimruhusu na anafanya hivyo kila mara natamani nataman kumsahau ila nashindwa kwan nadhan kumsahau natakiwa nikate mawasiliano nae na nisimuone tatizo nikifanya hivyo nn hatima ya mwanangu pia tatizo sura yake bado naiona kupitia mwanangu huyu, nikimnyima asimuone mtoto itakuwa sawa waungwana naomba mnisaidie nifanyeje nimsahau huyu mzazi mwenzangu ambaye kila nikimuona naumia