Nawezaje kukwepa deni kwenye account Yangu.?

Nawezaje kukwepa deni kwenye account Yangu.?

Solo Traveller

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,725
Reaction score
5,186
Nilikopa boom advance bhana, Sasa hili boom ndio la mwisho na hela ikiingia tu kwenye account inakatwa automatically na system

Wazee wa IT nitumie njia gani kukwepa deni hili ??
 
chukua sumu iweke kwenye maji koroga tia kwenye heater ikichemka pakia kwenye kikombe kunywa kuta ×2
 
Huwa wanasahau wakati mwingine, Mimi mwaka Jana mwanangu lilipoingia walichelewa kukuata akalitoa lote .

Ila wizi ni dhambi dawa ya deni kulipa.
 
Dah sawa muda wa kujua
Huwa wanasahau wakati mwingine, Mimi mwaka Jana mwanangu lilipoingia walichelewa kukuata akalitoa lote .

Ila wizi ni dhambi dawa ya deni kulipa.
sasa
Pole mkuu naona madeni yanakuandama sana.
Ahsante Sana
 
Back
Top Bottom