Nawezaje kuingiza simcard mbili kwenye tecno H6 ?

Nawezaje kuingiza simcard mbili kwenye tecno H6 ?

kateman

Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
38
Reaction score
5
Wanajamvi salam! Nimenunua tecno h6 ambayo imatumia dual simcard lakini nimeshindwa kuweka hizo line maana hata sehemu ya kuweka laini inaingia nusu laini moja! Wapendwa naomba msaada jinsi ya kuweka hizo laini mbili.

Natanguliza shukrani:
 
Nami na tatizo kama hilo, nina miezi miwili nimeinunua, juu nikaweka nikaweka laini ya tigo, lkn kabla ya kuiweka nikashauriwa kuwa ikatwe ndo itafiti na kuweza kufanya kazi, kweli ikafanyakazi vizuri tu,

tatizo ikawa laini ya pili, ambayo iligoma hadi sasa, nilienda kwa watu wa airtel wakanambia niwaone watu wa tecno, nao wakashindwa, wakataka nirudi tena airtel, nikaona huu ni upuuzi,

nikanunua simu nyingine kwa ajili ya laini hiyo ya airtel, hadi mda huu natumia laini moja katika hii hsix, wenye kuelewa watujuze tafadhari.
 
Mimi ninatumia hiyo simu, zile za tigo. Line ya chini hukati unaiingiza kama ilivyo, lakini upande wenye kile kisehemu cha kung'aa uwe juu. Line ya pili unaikata na kuiweka tundu la juu huku ile sehemu ya kung'aa ikiwa chini.
Otherwise rudi ulipouziwa ili wakusaidie
 
Mimi ninatumia hiyo simu, zile za tigo. Line ya chini hukati unaiingiza kama ilivyo, lakini upande wenye kile kisehemu cha kung'aa uwe juu. Line ya pili unaikata na kuiweka tundu la juu huku ile sehemu ya kung'aa ikiwa chini.
Otherwise rudi ulipouziwa ili wakusaidie

asante! Lakin mbona hiyo sehemu ya chini haina frame na line inapwaya! Nijuze zaidi ndugu yangu
 
Nami na tatizo kama hilo, nina miezi miwili nimeinunua, juu nikaweka nikaweka laini ya tigo, lkn kabla ya kuiweka nikashauriwa kuwa ikatwe ndo itafiti na kuweza kufanya kazi, kweli ikafanyakazi vizuri tu,

tatizo ikawa laini ya pili, ambayo iligoma hadi sasa, nilienda kwa watu wa airtel wakanambia niwaone watu wa tecno, nao wakashindwa, wakataka nirudi tena airtel, nikaona huu ni upuuzi,

nikanunua simu nyingine kwa ajili ya laini hiyo ya airtel, hadi mda huu natumia laini moja katika hii hsix, wenye kuelewa watujuze tafadhari.

na mimi nimeikata lakini bado nikiwasha sim inaonesha no simcard detected.msaada zaid jaman au kuna settings hazijakaa vizur?
 
na mimi nimeikata lakini bado nikiwasha sim inaonesha no simcard detected.msaada zaid jaman au kuna settings hazijakaa vizur?

Hilo litakuwa tatizo jingine mkuu, kama huko dsm, ebu nenda mlimani city, wanaweza kukusaidia, waone watu wa mtandao wa simu au watu wa tecno watakusaidia.
 
na mimi nimeikata lakini bado nikiwasha sim inaonesha no simcard detected.msaada zaid jaman au kuna settings hazijakaa vizur?

Mkuu hata mimi hiyo imenitokea, nimenunua tecno za Tigo, line 1 simcard imeingia bila tabu, line 2 slot yake ni ndogo nimejaribu kukata line lakini haisomi kabisa.
 
ndg zangu mlionipa maelekezo nawashukuru sanaaa maana sim imekubali na inapiga mzigo vzr sana. God bless you!
 
Wanajamvi salam! Nimenunua tecno h6 ambayo imatumia dual simcard lakini nimeshindwa kuweka hizo line maana hata sehemu ya kuweka laini inaingia nusu laini moja! Wapendwa naomba msaada jinsi ya kuweka hizo laini mbili.

Natanguliza shukrani:

Kwa yeyote mwenye simu ambayo line two inaingia min simcard naomba usiwe na papara kwanza maduka mengi ya simu wanacho kifaa chakukatia hiyo line au vodacom nadhan pia hizo min sim card wanazo usikimbilie kuharibu line yako sababu kama utaikata basi hakikisha unaikata ifanane na line ya kawaida ila inakuwa ndogo.
 
Back
Top Bottom