Mvinyo mpya
Senior Member
- Aug 24, 2013
- 167
- 400
- Thread starter
- #21
Meaning?You move on by cultivating an attitude of ‘zero fcuks given’.
Meaning?You move on by cultivating an attitude of ‘zero fcuks given’.
Just don’t give a fcuk. Be carefree.Meaning?
Thanks sura ya mbuzi sio.Just don’t give a fcuk. Be carefree.
Yes mkuu hamna lingine.Suala la kutukana na kulewa tu ndo likufanye ufeel guilty? Labda kama una lingine hujafunguka hapa
Acha pombe au ukinywa jifungie ndani ukilewa lala, hii tabia ni ya hovyo sana mkuu.Unatukana ukiwa umelewa i feel bad
Noma aise nakua mtu wa kuongea hovyo hovyo na kutoa siri mixer kujifanya nina hela wakati ni hizi za kusubiri mwisho wa mweziAcha pombe au ukinywa jifungie ndani ukilewa lala, hii tabia ni ya hovyo sana mkuu.
Kuna jamaa alinunuliwa pombe na bosi wake baada ya kulewa kaanza kumtusi bosi, bosi akavumilia maana ilikuwa 1st time, ikajirudia mara 5 bosi akamfukuza kazi.
Kama hiyo hali inakukera hadi wewe mwenyewe jitathimini uone kama itakupunguzia nini ukiacha pombe.Noma aise nakua mtu wa kuongea hovyo hovyo na kutoa siri mixer kujifanya nina hela wakati ni hizi za kusubiri mwisho wa mwezi
Nitafanya hivyoKama hiyo hali inakukera hadi wewe mwenyewe jitathimini uone kama itakupunguzia nini ukiacha pombe.
Jipe muda utasahau tu kwasasa focus na mambo yaliyo mbele yako kama ni kazi,biashara na ibadaNimefanya mambo fulani ambayo yameniletea aibu na bado najisikia hatia na kukosa kujiamini. How do i move on...
Vitu kama ulevi wa kupindukia, kutukana watu, kupoteza pesa nyingi nk.
Jitahidi thamani yako ni kubwa sana kuliko ulevi unaokufanya ufanye mambo ya kuishusha. Kila la heri mkuu.Nitafanya hivyo
Hiyo attitude haiwezi kukusaidia kama Conscience ndani yako inajiona kuwa na hatia, kujisamehe ni kuanza kuwa righteous from there.Thanks sura ya mbuzi sio.
Kali nafuta chupa ya 750 mwenyewe baada ya hapo nakua nusu chizi. Bia sipendiKwanza unaye wa kumlaumu bwana GAMBE. Pili kama limetokea hakuna namna kurudisha nyuma. Tatu na la msingi we songa mbele, kama ulitukana ukiwa umelewa usiombe cha msamaha wala nini we kausha songa mbele jimix endelea na maisha.
Halafu jua kiasi chako cha pombe. Kama unapiga pombe kali lazima ndio zitakua zinakuzingua. Hamia bia ingawa nazo zinachelewesha sana.....
Olo in olo usijutie sana songa mbele
Pombe ishaniletea aibu kibao kufikia hatua ya kutoka nje uchi kwenye nyumba za kupanga! Kukojoa kitandani,, wife kashanichoka basi tu anavumiliaKali nafuta chupa ya 750 mwenyewe baada ya hapo nakua nusu chizi. Bia sipendi
Mkuu pumzika pombe. Itakufanya vibaya. Yani kama unatoka nje uchi hiyo ni dalili mbaya sana mkuu.Pombe ishaniletea aibu kibao kufikia hatua ya kutoka nje uchi kwenye nyumba za kupanga! Kukojoa kitandani,, wife kashanichoka basi tu anavumilia
Utakua bado kijana baro baro yale machupa lazima uwe na nguvu sana au kijana. Punguza ankoKali nafuta chupa ya 750 mwenyewe baada ya hapo nakua nusu chizi. Bia sipendi
In my early 40sUtakua bado kijana baro baro yale machupa lazima uwe na nguvu sana au kijana. Punguza anko
Kaka kwa umri huo punguza tu pombe maana watoto ndio wanapata akili na wakiona mshua anaharibu nao unawaharibu kisaikolojia. Pia magonjwa ya ini na figo siku hizi mengi kwa kuwa pombe feki nyingi na tunakunywa hovyo bila kula.....In my early 40s