Naweza tumia E-office kwa kutumia simu..?

Naweza tumia E-office kwa kutumia simu..?

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,873
Reaction score
4,580
Wakuu, naweza kutumia E-office kwa simu au ni mpaka kiwe na PC..? kwa wale wanaotumia Government mailing system..
 
Swali kama hili unaulizaje hapa kiongozi. Anyway hiyo ni private network ambayo ili uweze kutumia kwenye simu basi lazima simu iwe connected na network ya office husika.
 
Naona mambo ya Ofisi mtandao hayo..
Haya bhana watumishi pigeni kazi
 
Kama unapewa details za server, ports etc unaweza uka add manual kwenye app za simu kama Gmail.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom