Naweza kutumia wiring ya umeme wa TANESCO kuunga solar?

memory card

JF-Expert Member
Dec 17, 2013
252
153
Salam wakuu, nina kibanda changu nimesuka wiring ili nipate huduma ya umeme kutoka TANESCO toka mwezi wa tisa mwaka jana 2021 mpaka leo hata control number sijapewa ili nilipie mpaka umeme umepanda sio case sana!! Wakiamua wenyewe watakuja.

Naomba kujua kama naweza kutumia wiring hii hii niliyofanya niunge solar panel kwenye zile wire za kupokelea umeme niendelee kula maisha na vipi kuhusu hii main switch na kile kiblaker chake.
 
Salam wakuu, nina kibanda changu nimesuka wiring ili nipate huduma ya umeme kutoka TANESCO toka mwezi wa tisa mwaka jana 2021 mpaka leo hata control number sijapewa ili nilipie mpaka umeme umepanda sio case sana!! Wakiamua wenyewe watakuja.

Naomba kujua kama naweza kutumia wiring hii hii niliyofanya niunge solar panel kwenye zile wire za kupokelea umeme niendelee kula maisha na vipi kuhusu hii main switch na kile kiblaker chake.
Hakikisha kwenye solar yako una invetor ili kubadili dc kwenda ac (hii ni sawa na umeme wa TANESCO).
 
Kama umeme utakuwa mwingi kutoka kwenye solar haiwezi kuunguza chochote
Umeme wa TANESCO ni AC (umeme wa majumbani ni 220_240v)

Umeme wa solar ni DC (umeme wa solar karibu zote ni 12v) hivyo utahitaji converter ili kuutumia kwa matumizi ya kawaida. Converter itategemea ukubwa (watts) wa panel yako na matumizi yako. Kuhusu kuunguza, iwapo utanunua vitu fake kuungua ni rahisi lakini og ni mkataba labda itokee bahati mbaya.
 
Kiongozi,
Unaweza ila nakushauri tafuta fundi au mtu anayejua kuunganisha sola akusaidie
Namaanisha Umeme wa sola hupita kwenye betrii, halafu inventa halafu sasa ndio unaweza kuunga pale kwenye nyaya.
Na kama unataka umeme kwa ajili ya taa pekee, ina maana utahitaji zile paneli pamoja na batrii. Fundi atakusaidia kukuelekeza ila hauwezi kuunguza kitu.
 
Kiongozi,
Unaweza ila nakushauri tafuta fundi au mtu anayejua kuunganisha sola akusaidie
Namaanisha Umeme wa sola hupita kwenye betrii, halafu inventa halafu sasa ndio unaweza kuunga pale kwenye nyaya.
Na kama unataka umeme kwa ajili ya taa pekee, inamaana utahitaji zile paneli pamoja na batrii. Fundi atakusaidia kukuelekeza ila hauwezi kuunguza kitu
Nimekupata asante sana, ngoja nifanye hivyo.
 
Ukiweza kuwa mtundu unajitengenezea umeme wako.
Free energy generator yupo mzee anasuka.
Au unatengeneza mfumo wa mvuke kuzalisha Umeme wako kwa matumizi yako unatumia makaa ya mawe, pumba, maranda au oil chafu unapata umeme safi kabisa majumbani au kwenye kiwanda chako.

Unakuta mtu ana mashine ya kukoboa mpunga bado anahangaika na umeme wa TANESCO, si uzalishe umeme wako kupitia pumba za mpunga.

Una garage ya magari unasumbuka na umeme si utumie oili chafu uzalishe umeme wa kutosha garage yako.
 
ukiweka solar kwa bati juu kuna waya mbili za moto zinashuka nilitaka niunge na zile waya mbili za kupokea umeme wa tanesco hapo inverte inakaa wapi
Boss inawezekana ndiyo
Lakin tafuta FUNDI ushauri nakupa km ujui hata inventor inakaa wapi inamaana hauna ABC yoyote ya umeme
sasa kwa usalama ni bora utafute FUNDI

Kuna vitu vya kuelekezana ila sio umeme utapata HASARA ya vifaa vyako na AFYA yako
 
Ukiweza kuwa mtundu unajitengenezea umeme wako.
Free energy generator yupo mzee anasuka.
Au unatengeneza mfumo wa mvuke kuzalisha Umeme wako kwa matumizi yako unatumia makaa ya mawe,pumba,maranda au oil chafu unapata umeme safi kabisa majumbani au kwenye kiwanda chako.
Unakuta mtu ana mashine ya kukoboa mpunga bado anahangaika na umeme wa tanesco,si uzalishe umeme wako kupitia pumba za mpunga.
Una garage ya magari unasumbuka na umeme si utumie oili chafu uzalishe umeme wa kutosha garage yako.
Naomba namba yake please.
Niko Dar
 
Back
Top Bottom