Osea lenes
Member
- Jun 25, 2021
- 6
- 2
Naomba kuuliza. Kwa mtu mwenye leseni class c1, c2, c3 ambayo aliinunua yaani hana cheti cha veta, je akihitaji kwenda kusoma kozi ya basic driving ili apate cheti anaruhusiwa???
Naomba muongozo kidigo kama unafahamu, nifanyaje, maana nimeshalipa ada wakanambia et nina leseni kubwa kwahy sheria haziwaruhusu mm kusoma basic drivingHakuna kinachoshindikana