Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,738
- 3,195
Moja kwa moja kwenye swali.
Hivi hospitali, ambazo wanauwezo wa kupima kundi la damu la mtu.. Na bima ya afya ya taifa yani NHIF inakubalika katika hospitali hiyo. vipimo hivyo nitaweza kupatiwa, kwa kutumia hiyo bima ama ni lazima niwe na pesa cash?
kingine nataka kufahamu, kama bima hii ya afya inaweza kunigharamia check up ya afya ya mwili wangu wote, ama ni kwa vitu vichache katika kucheki hali ya afya ya mwili wangu, kama vile level ya sukari na mengine? nataka kufahamu kama huduma zipi, nitapatiwa kupitia bima ya afya ya taifa, kama nilivyoainisha hapo juu.
msaada tafadhali kwa wanaofahamu.
Hivi hospitali, ambazo wanauwezo wa kupima kundi la damu la mtu.. Na bima ya afya ya taifa yani NHIF inakubalika katika hospitali hiyo. vipimo hivyo nitaweza kupatiwa, kwa kutumia hiyo bima ama ni lazima niwe na pesa cash?
kingine nataka kufahamu, kama bima hii ya afya inaweza kunigharamia check up ya afya ya mwili wangu wote, ama ni kwa vitu vichache katika kucheki hali ya afya ya mwili wangu, kama vile level ya sukari na mengine? nataka kufahamu kama huduma zipi, nitapatiwa kupitia bima ya afya ya taifa, kama nilivyoainisha hapo juu.
msaada tafadhali kwa wanaofahamu.