chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
Mi nikiwa chuo na mpaka sasa nilikuwa nakopesha mikopo midogo midogo na dhamana ilikuwa vyeti. Mmoja aka default nimezuia vyeti mpaka Leo na fursa zilitoka za ajira akawa hana vyeti. Kurudisha siwezi kwani nami sijalipwaNchi za wenzetu inakubalika. Ila kwa tanzania sijawahi kuisikia. Kumbuka hakuna dhamana ngumu kama vyeti. Wengine wanaweka hadi hati za kusafiria pamoja na vyeti au documents zote orijino. Inafika mahali unajuta maana inatokea dharura flani yakusafiri nje unashindwa.