Naweza kupata contact details za Professor Muhongo, Waziri wa Nishati?

ninanina

Member
Jun 25, 2011
37
24
Wana JF
Kwa yeyote mwenye contact details za Professor Muhongo. Tanesco wamezidi kukata umeme Dodoma. Toka mwaka mpya kila siku wanakata na hawajawahi kutoa taarifa yeyote kwa watumiaji. Najua siyo Dodoma tu, lakini shida ya Dodoma inanihusu. This has to stop, wanafanya kama kamchezo fulani hivi! Asanteni kwa telephone number na email address.
 
sasa unataka namba za mwanasiasa za nini !! inamaana unataka kuendelea kudanganywa.omba namba za emergency dodoma ili uweze kujua shida ni nini hadi umeme unakatika ovyo tusiendekeze siasa kwenye technical issues
 
N
Wana JF
Kwa yeyote mwenye contact details za Professor Muhongo. Tanesco wamezidi kukata umeme Dodoma. Toka mwaka mpya kila siku wanakata na hawajawahi kutoa taarifa yeyote kwa watumiaji. Najua siyo Dodoma tu, lakini shida ya Dodoma inanihusu. This has to stop, wanafanya kama kamchezo fulani hivi! Asanteni kwa telephone number na email address.
Nyie wagogo akili hamna wacha muisome number kuku nyie
 
nyie wa dodoma si ndio mliichagua ccm kwenye uchaguzi? MTAISOMA NAMBA
mkuu na Arusha pia umeme ni tatzo na walikikataa Chama Cha Mashetani hebu 2juze wao wanaisoma namba au wanaandika IRABU?
 
Emergency gani hiyo ya kila siku toka mwaka mpya? Ninyi baadhi ya regulars wa JF mnafanya utani na kila kitu. Kuna mzazi anazalishwa hapa kwa taa, tunataka UMEME! Inaonekana hakuna mwenye contact details..... thx
 
Emergency gani hiyo ya kila siku toka mwaka mpya? Ninyi baadhi ya regulars wa JF mnafanya utani na kila kitu. Kuna mzazi anazalishwa hapa kwa taa, tunataka UMEME! Inaonekana hakuna mwenye contact details..... thx
Pole sana mkuu,watu wa humu wanamasihara sana
 
Yani muwe na heshima basi na hawa viongozi wetu Yani taarifa ya hivyo ndio una mpigia waziri Yani Tanesco hakuna wa kukupa majibu??kuanzia mkoa wa Dodoma hadi makao makuuu ubungo ndio una taka kumpigia waziri?
 
Wana JF
Kwa yeyote mwenye contact details za Professor Muhongo. Tanesco wamezidi kukata umeme Dodoma. Toka mwaka mpya kila siku wanakata na hawajawahi kutoa taarifa yeyote kwa watumiaji. Najua siyo Dodoma tu, lakini shida ya Dodoma inanihusu. This has to stop, wanafanya kama kamchezo fulani hivi! Asanteni kwa telephone number na email address.
Namba ya muhongo haitakusaidia lolote heri ungeomba namba ya Mramba. Yaani mimi nilimsikia mhongo akitoa takwimu eti umeme unaozalishwa unakidhi mahitaji ya nchi nilishangaa sana na nilijua lazima muibuke watu kama nyie mkiamini ni kweli hivyo umeme ukikatika unahisi tanesco wanafanya kusudi, uo utakua utoto na upumbafu. Haujawahi jiuliza kwa nini tanesco wakate umeme makusudi ili iweje kwamba wao wanauchota uo umeme kama fedha vile na kuuficha majumbani kwao? Au wao hawahitaji kukusanya pesa kwa kuuza units nyingi za umeme? Acha mawazo ya kijinga, uzalishaji wa umeme kwa sasa hautosherezi nchi nzima ikawa na umeme 24/7, kwa hiyo vumilia ukiona kwako umekatika ujue kuna wenzako wamepewa nishati hiyo na ukiona kwako upo ujue kuna wenzako umekatika
 
Back
Top Bottom