Naweza kujua elimu ya mtu kupitia post zake?

Nimemaliza madrassa, naendelea na elimu ya kadhi aka kilaza
............. ukimaliza tutakupambanisha kwenye mdahalo na watu wenye Phd, wanaodai "Mungu" alikuwepo hapa na pia watu walikuwa manyani kasoro mkia ! :yawn:
 
najua tupo kwenye msiba lakini naomba kujua kama naweza kujua elimu au uwezo wa member kwa kusoma post au comment zake'
Nauliza kwa sababu mbili'moja kuna watu humu ndani nitawataja kama nikiruhusiwa'ningependa kuwajua elimu zao'pili mimi ni mgeni nataka nijipange kabla sijajulikana udhaifu wangu'asanteni!

Sio rahisi kama unavyofikiri, kuna baadhi ya mada unaweza kupredict lakini sio kila kitu. Mimi nafanya kazi na professors, kwenye kazi za professional zao wako makini lakini tukija kwenye mambo ya elimudunia au professional yangu huwa nawapiga darasa na pia kwenye mambo ya kijamii wengi wao hawajui kitu huwa wanaongea pumba sana huwezi amini kama ni professor wa chuo kikuu kwa sababu wengi wao vijiweni hawapiti hata siku moja moja. Kwa hiyo humu kila mtu ana maujuzi yake ukipita kwenye mambo ya professional yake ndio utajua kumbe kila mtu ana PHD ya kitu fulani. NAKUOMBA UACHE DHARAU KABLA HUJAUMBUKA.
 
mimi niwe mkweli nilikimbia secondary...na sababu ni kupenda sana SOKA enzi zangu...nikaacha shule nikaenda kusajiliwa na Timu ligi kuu....enzi hizo ila sasa na soma elimu ya magumbaru
 
.............ndo maana watanzania tunafeli! Mtu badala ya kujib swali anaanza kujieleza! Soma uelewe na tafakari kabla ya kujibu.
 
Mtanganyika, na elimu yangu ni Tanganyika. Shule nimesoma Tanganyika tena kwa lugha ya Kitanganyika. Marafiki zangu watanganyika....
 
Utaona hawana jazba katika kujibu watu. Wanatoa majibu sahihi na ya uhakika. Hata kama hujaelewa watakuelewesha mpaka uelewe. Ni watu ambao hawakurupuki kujibu wenzao majibu ya hovyo. Huzingatia sheria za jf. Watu hao akili zao zina akili.
 
Education has to prepare our people to play a dynamic and constructive part in the development of a society...in which progress is measured in terms of human wellbeing not prestige buildings,cars or other such things.......xo through this post can u tel me ma level of educatiön buddy?
 
Back
Top Bottom