Naweza kujua elimu ya mtu kupitia post zake?

Naweza kujua elimu ya mtu kupitia post zake?

.............ndo maana watanzania tunafeli! Mtu badala ya kujib swali anaanza kujieleza! Soma uelewe na tafakari kabla ya kujibu.
Sasa na wewe hapa ndio umejibu nini? mijitu mingine hovyo kwelikweli na hii ndio njia sahihi mimi ninayoitumia kujuwa elimu na ufahamu wa watu.
Au ndio nyani halioni kundule?
 
Unaonyesha dhahiri una kitu inaitwa "inferiority Complex" this is an open forum sio taasisi ya elimu hapa. Hata uko kwenye taasisi za elimu wamejaa vihiyo kibao.
 
Ni rahisi sana kujua elimu zetu, chunguza post zenye kuhitaji kufikiri japo kidogo wachangiaji huwa kiduchu.
Lakini zile post zinazogusa mambo ya ushabiki kama vile ikashifu Chadema au CCM hapa hata kama habari yenyewe
haina mantiki utapata wachangiaji wengi sana. Vivyo hivyo kwa masuala ya udini - Uisilamu/Ukristo na hasa
wanaposhambuliana kwa misingi ya imani zao, ila mada inayohusu kuwaunganisha haitapokelewa vizuri bila kujali ushabiki
wa kiitikadi. Hapa ni kweli wengi wetu tulipata divisheni ya nne kidato cha nne - wakati ule maarufu kama "Umoja wa vijana"
 
primary nilisoma AL-MADRA SATII SHAMSI YA ISLAMIYA na sekondari nikamilizia -MADRASATUL-MARKAZ zote za tanga !!
 
sasa hapo ni wale wa siasa, je kwa chit chat kama Kongosho elimu yao vipi???
 
Kwa nchi ambayo haijawahi kutengeneza hata Toothpick katika miaka yake yote 50 ya uhuru. Usomi wa 'wasomi' wake ni aibu kwa taifa na dunia.
Yaani wameshindwa hata na vijana wa mitaani waliovumbua 'chips mayai!'
 
Sidhani kama unaweza kwa kusoma post ya mtu. Kwa mfano unaweza kujua kiwango cha elimu yangu?
najua tupo kwenye msiba lakini naomba kujua kama naweza kujua elimu au uwezo wa member kwa kusoma post au comment zake'
Nauliza kwa sababu mbili'moja kuna watu humu ndani nitawataja kama nikiruhusiwa'ningependa kuwajua elimu zao'pili mimi ni mgeni nataka nijipange kabla sijajulikana udhaifu wangu'asanteni!
 
All i really need to know in life i learned in kindergarten.
 
najua tupo kwenye msiba lakini naomba kujua kama naweza kujua elimu au uwezo wa member kwa kusoma post au comment zake'
Nauliza kwa sababu mbili'moja kuna watu humu ndani nitawataja kama nikiruhusiwa'ningependa kuwajua elimu zao'pili mimi ni mgeni nataka nijipange kabla sijajulikana udhaifu wangu'asanteni![/

Hapo kwenye red unataka uwezo gani?
 
Utaona hawana jazba katika kujibu watu. Wanatoa majibu sahihi na ya uhakika. Hata kama hujaelewa watakuelewesha mpaka uelewe. Ni watu ambao hawakurupuki kujibu wenzao majibu ya hovyo. Huzingatia sheria za jf. Watu hao akili zao zina akili.

U'r right!
 
najua tupo kwenye msiba lakini naomba kujua kama naweza kujua elimu au uwezo wa member kwa kusoma post au comment zake'
Nauliza kwa sababu mbili'moja kuna watu humu ndani nitawataja kama nikiruhusiwa'ningependa kuwajua elimu zao'pili mimi ni mgeni nataka nijipange kabla sijajulikana udhaifu wangu'asanteni!

mimi nina elimu ahera,:wink2:
udhaifu wako utaonekana automatic wala usihangaike na kujua elimu za watu haitakusaidia kwani kuna wenye elimu humu lakini huandika pumba na vise vesa, elimu humpa mtu busara na maarifa ila si kila wenye elimu huwa ameelimika hivyo kutaka kujua elimu za watu haitakusaidia
changia ukishindwa soma tu za wengine siku zinasogea
hata hivyo hatuko katika mashindano hapa ila tupo katika jukwaa la kubadilishana mawazo maarifa na experience mbalimbali kwa ajili ya kupata ufahamu zaidi wa mambo mbalimbali.
ila jina lenyewe la jukwaa linakueleza jambo juu ya wanamember tetteeeeee
 
Ni rahisi sana kujua elimu zetu, chunguza post zenye kuhitaji kufikiri japo kidogo wachangiaji huwa kiduchu.
Lakini zile post zinazogusa mambo ya ushabiki kama vile ikashifu Chadema au CCM hapa hata kama habari yenyewe
haina mantiki utapata wachangiaji wengi sana. Vivyo hivyo kwa masuala ya udini - Uisilamu/Ukristo na hasa
wanaposhambuliana kwa misingi ya imani zao, ila mada inayohusu kuwaunganisha haitapokelewa vizuri bila kujali ushabiki
wa kiitikadi. Hapa ni kweli wengi wetu tulipata divisheni ya nne kidato cha nne - wakati ule maarufu kama "Umoja wa vijana"

unataka kusema jukwaa la siasa wamejaa vilaza au unajaribu kusema kuwa jukwaa la siasa na dini wamejaa form four?
kama hivyo ndivyo unavyofikiri wewe ndio utakuwa na tatizo kubwa la kufikiri.
 
All i really need to know in life i learned in kindergarten.

I was On Fire When I Lay Down on It
by Robert Fulghum

Kama umesoma kitabu cha ALL I REALLY NEED TO KNOW I LEARNED IN KINDERGARTEN basi si vibaya ukatafuta hicho kingine nilichokitaja hapo juu.

Binafsi nimeishia chekechea lakini kuna wasomi wengi wa humu JF huwa siwaelewi: MS,Ribosome,etc. Au kuna Prof. Bunsen Burner wa UDSM humu?
Ni-PM mkuu!
 
mnaongelea elimu ipi? kuwa na MAKARATASI(wengine wanaita vyeti) AU UJUZI?

Naomba kujuzwa
 
Back
Top Bottom