Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,366
- 3,561
Nimeota kuna jamaa mmoja amefariki tunaaga maiti yake. Ghafla maiti ikasimama. Watu tulistuka. Akachukua fimbo bwana akaanza kucharaza watu viboko.
Sasa najaribu kuwaza maiti ya kiislamu ikifufuka nahisi kitu cha kwanza ni kuomba msosi kwanza maana maiti za kiislam lazma zioshwe kwa kukamua kila kilichoko tumboni.
Sasa najaribu kuwaza maiti ya kiislamu ikifufuka nahisi kitu cha kwanza ni kuomba msosi kwanza maana maiti za kiislam lazma zioshwe kwa kukamua kila kilichoko tumboni.